SADC yazindua kanzidata ya dawa SMD

Dar es Salaam. Kanzi data ya dawa kwa ajili ya nchi wanachama wa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara (SADC), Med Database SMD imeanzishwa ili kusaidia kila nchi kupata taarifa ya bei ya bidhaa za afya wakati wa kufanya ununuzi. Hatua hiyo imefuata baada ya mawaziri wa afya wa SADC, kuridhia taarifa ya mshauri…

Read More

Kamati kuu Chadema ‘yawafyeka’ wagombea hawa

Dar es Salaam. Usaili wa siku mbili wa wagombea wa nafasi mbalimbali katika kanda nne za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), umeacha kicheko, kilio na simanzi kwa watia nia waliopenya na wanaodaiwa kukatwa majina yao baada ya kutokidhi vigezo. Mchakato huo ulioitimishwa usiku wa kuamkia leo Jumanne, Mei 14, 2024 ulikuwa wa moto na…

Read More

NMB yazindua akaunti ya kidijitali kwa wajasiriamali

BENKI ya NMB imezindua akaunti maalum ya kidijitali iitwayo ‘NMB Niwekee,’ inayolenga kuleta ukombozi wa maisha ya baadaye ya watu walio nje ya mfumo rasmi wa ajira, ambayo inajumuisha faida kedekede ikiwemo bima ya maisha yenye fidia hadi ya Sh. 50 milioni. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). NMB Niwekee ambayo ni fursa na wepesi wa…

Read More

Afrika yahitaji mabilioni ya majiko salama, IEA – DW – 14.05.2024

Barani Afrika, msukumo kuelekea upishi unaozingatia hali ya hewa umekuwa nyuma ikilinganishwa na kwingineko ulimwenguni. Jambo ambalo shirika la Kimataifa la Nishati IEA linatarajia kubadilisha Kwenye mkutano wa kilele unaoendelea huko Paris, unaolenga kukusanya dola bilioni 4 kila mwaka kwa miradi ya upishi kutumia nishati salama kote barani humo. Kulingana na shirika la IEA, uchafuzi…

Read More

Mke wa Balozi alalamika kuvamiwa na wasiojulikana

Unguja. Mwanaamina Farouk, mke wa Balozi wa Tanzania anayemaliza muda wake nchini Comoro, Pereira Ame Silima, amelalamika kuvamiwa na kutishiwa maisha nyumbani kwake na watu wasiojulikana. Pia, amelilalamikia Jeshi la Polisi akidai limeshindwa kufuatilia tukio hilo. Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi limekiri kupokea taarifa za tukio hilo likieleza linalifuatilia. Hilo linajiri mwezi mmoja ukiwa umepita…

Read More