Bodi ya makandarasi kuanza operesheni kukagua miradi mikubwa nchini

Arusha. Kutokana na miradi mingi mikubwa hususani ya barabara kutekelezwa chini ya kiwango, Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB), imesema inaanza operesheni maalumu kukagua miradi hiyo. Pia, imesema kupitia operesheni hiyo itakayoanza mwezi huu, itajiridhisha endapo makandarasi wa nje walioingia mikataba na Serikali wanafanyakazi kwa mujibu wa sheria na kinyume na hapo, hatua zitachukuliwa dhidi…

Read More

Dk Tulia: Nishati safi ni ukombozi kwa wanawake

Dar es Salaam. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema mabadiliko ya matumizi ya nishati kutoka chafu kwenda safi ya kupikia ni ukombozi kwa wanawake dhidi ya mambo mbalimbali. Kutokana na matumizi ya nishati hiyo, Dk Tulia amesema mwanamke atakomboka dhidi ya magonjwa na kiuchumi. Dk Tulia ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge…

Read More

Matumizi ya nishati safi sio anasa, ladha ipo

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema matumizi ya nishati safi kwa kupikia ni mahitaji ya lazima sio anasa hivyo utamaduni wa Watanzania kudhani chakula kilichopikwa kwenye gesi kwamba hakina ladha sio kweli. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizindua rasmi mkakati wa kitaifa wa matumizi ya nishati safi kwa kupikia leo Jumatano jijini Dar es Salaam, Rais…

Read More

Kuanzia Agosti marufuku kutumia mkaa, kuni

RAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Selemani Jafo kuandaa katazo la kupiga marufuku kwa taasisi zote zinazohudumia watu zaidi ya 100 kutotumia kuni na mkaa kuanzia Agosti mwaka huu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endele). Rais Samia ametoa agizo hilo leo Jumatano jijini Dar es Salaam…

Read More