Ma- DED wanolewa kuhusu uchaguzi, rushwa na mikopo

Kibaha. Wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mitaa nchini kote leo Mei 6, 2024, wameanza mafunzo ya siku tatu yenye lengo la kuwaongezea mbinu za kuboresha utekelezaji wa majukumu yao mahala pa kazi. Mada zitakazotolewa wakati wa mafunzo hayo yanayofanyika Kibaha mkoani Pwani ni pamoja na masuala ya rushwa na ubadhirifu katika mamlaka za Serikali…

Read More

Wajitokeza kuongeza nguvu matumizi gesi asilia

Dar es Salaam. Katika jitihada za kuongeza matumizi ya nishati safi katika shughuli mbalimbali, wadau mazingira wamekuja na njia tofauti za kuhakikisha watu wanahama katika utegemezi wa nishati walizozizoea. Miongoni mwa hatua za hivi karibuni ni kuwa na matumizi ya gesi asilia (CNG) na umeme katika vyombo vya moto ambavyo awali vilikuwa vikitumia nishati ya…

Read More

Watoto wanene kupita kiasi waanza kupungua

Dodoma. Ni matumaini makubwa kwa familia ya Joseph Kalenga na mkewe Vumilia Elisha baada ya watoto wao Imani (7) na Gloria Joseph (4) waliokuwa na uzito kupita kiasi, kuanza kupungua uzito. Mafanikio hayo yamefuatia matibabu lishe waliyopewa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili-Mloganzila, waliyopewa wiki chache zilizopita. Mpaka kufikia leo Jumatatu Mei 6, 2024 Imani amepungua…

Read More

Utoro chanzo cha ufaulu mdogo Geita

Geita. Wakati kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi wa shule za sekondari mkoani Geita kikiwa chini ya asilimia 40, utoro wa wanafunzi, umetajwa kuwa sababu kubwa inayochangia mkoa huo kuwa chini kitaaluma kukiwa na kundi kubwa la watoto wanaojihusisha na shughuli za uzalishaji mali na kuacha kuhudhuria masomo. Taarifa ya elimu ya mkoa huo imeweka wazi…

Read More

BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR WAFANYA ZIARA EWURA

    Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati Zanzibar, imefanya ziara kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) ili kupata uzoefu wa shughuli za udhibiti leo tar. 6 Mei 2024. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Yahaya Rashid Abdala, ameishukuru EWURA kwa kuwakaribisha vizuri na kueleza imani yake…

Read More

Wauguzi Dar wataka siku zaidi za mapumziko

Dar es Salaam. Wauguzi na wakunga wa mkoa wa Dar es Salaam, wamelalamikia kufanya kazi zaidi ya saa nane kwa siku, pamoja na kutumia siku 28 mpaka 30 wakiwa kazini bila mapumziko. Wauguzi hao wamesema licha ya kupata mapumziko ya likizo ya siku 28 kwa mwaka, bado wameendelea kufanya kazi kwa saa 12 kila siku….

Read More