
Gamondi amuulizia kiungo Simba | Mwanaspoti
SIMBA msimu huu imekuwa na kiwango ambacho hakiwafurahishi mashabiki wake lakini kuna wachezaji ambao wamekuwa vipenzi vya mashabiki na wanaamini kama wataendelea kuwepo, miamba hiyo ya Ligi Kuu Bara msimu ujao itatisha na kusahau machungu ya misimu miwili mfululizo mbele ya watani zao, Yanga. Moja ya majina yanayotajwa yanawakosha mashabiki wa timu hiyo, ni kiungo…