
Mabao yatawabakisha Ligi Kuu | Mwanaspoti
MSIMU wa Ligi Kuu 2023/2024 unakaribia ukingoni na timu pamoja na wachezaji wanakaribia kuvuna kile walichokipanda ambacho ni ama kumaliza vizuri au kumaliza vibaya pindi mizunguko 30 ya ligi itakapokamilika. Timu mbili ambazo zitamaliza zikiwa mkiani mwa msimamo wa ligi zitashuka daraja moja kwa moja na mbili zitakazomaliza nafasi ya 13 na 14 zitacheza mechi…