
Che Malone, Inonga yawakuta Simba
Kwa namna Simba ilivyokuwa rahisi kuruhusu mabao msimu huu ndani ya Ligi Kuu Bara, beki wa zamani wa timu hiyo, Boniface Pawasa amesema msimu ujao lazima uamuzi mgumu ufanyike wa kusajili beki mwingine mwenye uwezo wa kuituliza safu hiyo ya ulinzi kwa maana, waliopo wameshindwa kutimiza majukumu yao. Pawasa ambaye alifanya makubwa ndani ya timu…