
TANZANIA, MISRI YAENDELEZA MAKUBALIANO SEKTA YA AFYA
Na. WAF – Dodoma Serikali ya Tanzania na Misri ziliingia mkataba wa makubaliano kati ya Wizara ya Afya na Shirika la ALAMEDA Healthcare Group Oktoba, 2022 ili kushirikiana katika nyanja ya Afya hasa upande wa huduma za kimatibabu kwa kubadilishana uzoefu, usimamizi wa hospitali na matibabu ya wagonjwa wa Kimataifa. Waziri wa Afya Mhe….