JKT yavuta 20 milioni ikiizamisha Mtibwa

USHINDI wa mabao 2-1 ilioupata timu ya JKT Tanzania leo dhidi ya Mtibwa Sugar umewafanya mastaa wa timu hiyo kushinda bonasi ya Sh20 milioni kutoka kwa uongozi wa maafande hao huku ukiididimiza Mtibwa mkiani mwa msimamo. JKT ndiyo ilianza kupata bao katika dakika ya sita kupitia kwa beki Edson Katanga aliyefunga kwa kichwa kabla ya…

Read More

Blinken airai Hamas kuridhia ombi la Israel kuwaachia mateka – DW – 29.04.2024

29.04.202429 Aprili 2024 Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken amewatolea mwito wanamgambo wa kundi la Hamas kukubali pendekezo la Israel la kuwaachilia huru mateka wanaowashikilia Gaza,ili kufungua njia ya usitishaji mapigano. https://p.dw.com/p/4fJVc Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony BlinkenPicha: Ichiro Ohara/Yomiuri Shimbun/AP Photo/picture alliance Wajumbe wa Hamas wanatarajiwa kukutana na…

Read More

Rais Samia, viongozi Afrika wataka mikopo nafuu

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema ili kuziwezesha nchi za Afrika kuwa na maendeleo shindani duniani, ni muhimu taasisi za fedha za kimataifa zizingatie utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu. Amezitaka taasisi hizo kurahisisha masharti ya mikopo ili nchi za Afrika zijiinue kimaendeleo. Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Jumatatu, Aprili 29, 2024…

Read More

Simba Queens yaendeleza dozi, yanusa ubingwa WPL

SIMBA Queens imeendeleza ubabe na kugawa dozi baada ya kuichapa JKT Queens mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi ikiwa juzi tu imetoka kumchapa mtani wake Yanga Princess 3-1 na kusalia kileleni.Hadi kipindi cha kwanza kinaisha Simba ilikuwa inaongoza kwa bao moja lililofungwa na Aisha Mnunka katika dakika ya 5 akipokea pasi kutoka kwa…

Read More

Misri ina matumaini kuwa Israel, Hamas watafikia makubaliano – DW – 29.04.2024

Kauli hiyo ya Misri imetolewa leo na Waziri wake wa Mambo ya Nje, Sameh Shoukry, kando ya mkutano wa Jukwaa la Kiuchumi la Dunia unaoendelea mjini Riyadh nchini Saudi Arabia. Shoukry amesema anatumai  pendekezo hilolitazingatia misimamo ya pande zote mbili na kwamba wanasubiri uamuzi wa mwisho: “Kuna pendekezo ambalo lipo mezani, na linapaswa kutathminiwa na kukubaliwa…

Read More

Wabunge wapaza sauti kukosekana haki mahakamani

Dodoma. Wabunge wametaka utaratibu wa kukazia hukumu pale mtu anaposhinda kesi ya madai uangaliwe upya kwa kupeleka muswada wa mabadiliko ya sheria bungeni. Wabunge Mashimba Ndaki wa Maswa Magharibi na Edward Ole Lekaita wa Kiteto wametaka Serikali ibadilishe sheria ya kukazia hukumu, wakisema ina mlolongo mrefu, badala yake wanataka mtu anaposhinda kesi akabidhiwe haki yake…

Read More

DPP awafutia mashtaka watuhumiwa watatu wa mauaji Geita

Geita. Mahakama Kuu Kanda ya Geita imewaachia huru washtakiwa watatu, Malale Magaka, James Malimi na Kijinga Lugata waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya mauaji ya mtu waliyemtuhumu kuiba mbuzi. Washtakiwa hao wameachiwa huku baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kuiondoa mahakamani akisema hana nia ya kuendelea na mashtaka dhidi yao. Watuhumiwa hao wanashtakiwa kwa kumuua kwa…

Read More

Kocha Yanga ataja siri ya Gamondi

WAKATI Yanga imebakiza pointi 12 ikiwa ni sawa na mechi nne ili kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa tatu mfululizo, kocha wa viungo wa timu hiyo, Taibi Lagrouni amefunguka siri ya ubora kwa kumtaja Miguel Gamondi kuwa ana nidhamu ya kupanga kikosi. Timu ya Wananchi imecheza mechi tano Aprili, nne za ligi…

Read More