Makocha hawa wapewa maua yao

LIGI ya Championship imefikia tamati jana kwa msimu wa 2023/2024 huku Kocha Mkuu wa Pamba, Mbwana Makata akiweka rekodi ya kipekee kwa kuipandisha timu hiyo Ligi Kuu Bara baada ya kusota kwa takribani miaka 23 tangu iliposhuka rasmi daraja. Makata licha ya kuweka rekodi hiyo pia amejitengenezea ufalme wa kupandisha timu nyingi Ligi Kuu Bara…

Read More

Hizi hapa sababu za maporomoko ya tope, mbinu za kuyaepuka

Dar es Salaam. Utunzaji wa uoto wa asili kwenye maeneo yenye miinuko mikubwa ni moja ya mbinu zilizotajwa na wataalamu za kupunguza hatari ya kutokea kwa maporomoko ya tope, baada ya mvua nyingi kunyesha. Kwa mujibu wa wanazuoni waliobobea katika taaluma ya jiolojia na miamba, ingawa matukio hayo si rahisi kuyadhibiti, angalau kuepuka kujenga juu…

Read More

Samia ataja miradi ambayo Tanzania inashirikiana na IDA

Rais wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu amehutubia viongozi pamoja na wageni mbalimbali walioshiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na kubainisha miradi ambayo Tanzania inashirikiana na Mfuko Maalum wa Benki ya Dunia ambao unatoa mikopo nafuu na misaada kwa nchi zinazoendelea (IDA), kuitekeleza. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Rais Dk. Samia…

Read More

Maporomoko ya tope yafunika nyumba 13 Muleba

Muleba. Maporomoko ya matope katika Mlima Kabumbilo Kijiji cha Ilemela wilayani Muleba yamefunika nyumba 13 wananchi wakizuiliwa kufika eneo hilo. Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu leo Aprili 29, 2024 Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Dk Abel Nyamahanga amesema nyumba 13 zifunikwa na matope yaliyoporomoka kutoka Mlima Kabumbilo Mlima huo upo kwenye vitongoji vya…

Read More

Mbolea chanzo cha mgogoro USM Alger, RS Berkane

UNAWEZA kuona kwa jicho la kisiasa mgogoro uliopelekea mechi ya pili ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya RS Berkane na USM Alger kutochezwa jana kama ilivyokuwa kwa mechi ya kwanza lakini nyuma yake kuna sababu za kiulinzi na pia kiuchumi. Sababu ya USM Alger kugomea mechi kwa vile RS Berkane walitaka…

Read More

Wabunifu teknolojia za elimu “njooni mchukue mkwanja”

Dar es Salaam. Wabunifu wa teknolojia ya elimu nchini wametakiwa kuwasilisha maombi ya fedha na mafunzo kwa ajili ya kuendeleza bunifu zao ili kuleta suluhu za kielimu nchini. Akizungumza jana Aprili 28, 2024 wakati wa kutambulisha mradi wa wa mafunzo hayo uitwao Mastercard Foundation EdTech Fellowship, Mtendaji Mkuu wa Sahara Ventures, Jumanne Mtambalike amesema lengo…

Read More

Kinara wa mabao aitega Ken Gold

BAADA ya kuandika rekodi mbili tamu Championship, winga wa Ken Gold, William Edgar amesema bado hajajua hatma yake kubaki au kuondoka kikosini humo msimu ujao. Nyota huyo ameshinda tuzo ya mfungaji bora akitupia mabao 21 na pia hii ni mara ya pili kuipandisha timu Ligi Kuu baada ya msimu wa 2021/22 kuipandisha Mbeya Kwanza. Kwa…

Read More

7 wafa Ulanga, mbunge alia kutelekezwa na mawaziri, Tanroad

Watoto saba wamepoteza maisha na zaidi ya kaya 70 kukosa makazi Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro kutokana na athari za mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha wilayani Humo na nchini kwa ujumla. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea). Mbunge wa Ulanga, Salim Hasham amebainisha hayo jana Jumapili wakati akizungumza na waandishi wa habari mkoani Morogoro juu…

Read More