Waogeleaji watumwa medali Angola | Mwanaspoti

BARAZA la Michezo la Taifa (BMT) limewataka waogeleaji wa timu ya Taifa kuhakikisha wanafanya vema kwenye mashindano ya kuogelea ya Afrika (Africa Aquatics Swimming Championship) yatakayoanza kesho Aprili 30 hadi Mei 2 mwaka huu nchini Angola. Mashindano hayo yana lengo la kuwania kufuzu michuano ya Olimpiki itakayofanyika Julai 26 hadi Agosti 11 nchini Ufaransa na…

Read More

Mbunge adai Tanroads ilimpa kazi mkandarasi asiye na vifaa

​​​​​​Morogoro. Mbunge wa Ulanga (CCM), Salim Hasham ameutupia lawama Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) mkoa wa Morogoro kwa kumpa kazi mkandarasi asiye na vifaa, jambo ambalo limesababisha kuchelewa kwa ujenzi wa barabara na kuchochea kupanda kwa bei za vyakula. Amedai mkandarasi huyo alipewa mradi wa kujenga barabara inayounganisha Ulanga na Ifakara, hata hivyo, amedai tangu alipopewa…

Read More