
Majaliwa: Chunguzeni watoto wenye usonji mapema
Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Afya kuongeza vituo vya huduma za uchunguzi na utambuzi wa mapema wa ugonjwa wa usonji na matatizo mengine yanayoweza kubainika, watoto wanapohudhuria kliniki kila mwezi. Wakati kati ya watoto 160 mmoja ana usonji, takwimu za kwenye vituo vya huduma za afya na shuleni…