Ali Kamwe afunguka ishu nzima ya Pacome, iko hivi

NYOTA wa Yanga, Pacome Zouzoua ameanza rasmi mazoezi na timu hiyo baada ya kukosekana kutokana na majeraha ya goti aliyoyapata wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC. Katika mchezo huo uliopigwa Machi 17, mwaka huu na kushuhudia Yanga ikifungwa mabao 2-1 kwenye Uwanja Benjamin Mkapa, Pacome alishindwa kuendelea dakika ya 28…

Read More

ACT Wazalendo wasisitiza kushushwa gharama za maisha

Moshi. Chama cha ACT Wazalendo kimeitaja hali ngumu ya kiuchumi miongoni mwa mambo manne ambayo kimesema bado ni changamoto kwa Watanzania. Pamoja na hilo, ambalo kimetaka lifanyiwe kazi, pia kimesema lipo tatizo la ajira,  kikokotoo cha pensheni ya wastaafu, na kukosa uhakika wa huduma bora za afya. Hayo yalielezwa jana na Kiongozi wa Chama hicho,…

Read More

Wanne familia moja wafariki dunia, madaraja yakatika

Dar/mikoani. Mvua zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali, zimeendelea kuleta madhara ikiwemo kusababisha vifo vya watu wanne wa familia moja na kukata mawasiliano ya upande mmoja kwenda mwingine. Mwenendo wa hali ya mvua unadaiwa kusababisha vifo vya watu wanne familia moja wanaoishi Mtaa wa Goroka Tuangoma wilayani Temeke, Dar es Salaam waliodondokewa na ukuta wa nyumba…

Read More

Watanzania watakiwa kuunga mkono matumizi nishati safi

Na Mwandishi Wetu, Arusha WANANCHI wa Jiji la Arusha wakiwemo Baba na Mama Lishe wameishukuru Kampuni ya Oryx Gas kwa hatua inazochukua za kuhakikisha kundi hilo linatumia nishati safi ya kupikia kwa lengo la kuharakisha shughuli zao sambamba na kuwaepusha na madhara yanayotokana na kutumia kuni na mkaa wakati wa kupika. Wakizungumza leo Aprili 27,2024…

Read More

 Polisi yawaachia ‘Boni Yai’ na Malisa, watoa msimamo

Dar es Salaam. Aliyewahi kuwa Meya wa Ubungo, Jacob Boniface, maarufu Boni Yai pamoja na Mwanaharakati, Godlisen Malisa wameachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es salaam baada ya kushikiliwa kwa siku tatu kwa tuhuma za uchochezi. Tuhuma za uchochezi zinazowakabili wawili hao ni kuchapisha taarifa kwenye mitandao ya kijamii kuwa…

Read More

Matumizi ya rada yaokoa wachimbaji migodini

Arusha. Katika kuelimisha wananchi na washiriki wa maonyesho ya usalama na afya mahali pa kazi Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeleta vifaa mbalimbali ili kutoa fursa kwa washiriki hao kujifunza teknolojia za kisasa za uokoaji. Hayo yamebainishwa leo Jumamosi, Aprili 27, 2024 na Meneja Usalama kutoka GGML, Isack Senya wakati akizungumza na waandishi…

Read More

TARURA:PAIPU KALAVATI ZASAMBAZWA KURUDISHA MAWASILIANO BARABARA KILIMANJARO

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoa wa Kilimanjaro wamenunua na kusambaza paipu kalavati kwaajili ya kurudisha mawasiliano kwenye madaraja yaliyokatika wakati wa mafuriko kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini. Meneja wa TARURA mkoa wa Kilimanjaro Mhandisi Nicholas Francis amesema tayari wamepokea fedha za dharura takriban milioni 477 kwaajili ya…

Read More

Mhagama: Changamkieni fursa za uwekezaji nchini

Na Mwandihi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama ametoa shime kwa Baraza la Uwekezaji wa Wananchi Kiuchumi kwa kushirikiana na Sekta Binafsi na wadau mbalimbali kutambua mawanda makubwa ya uwekezaji yaliyo katika nchini. Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza katika Kongamano la Nne…

Read More

Dk Biteko atoa maagizo kilio cha kodi, tozo shule binafsi

Dar es Salaam. Kufuatia kilio cha utiriri wa tozo kwa shule binafsi nchini, Serikali imeagiza wizara tano kukutana na Chama cha Wamiliki wa Shule Binafsi Tanzania (Tapie) kutafutia ufumbuzi kero zinazolalamikiwa. Serikali imetoa tamko hili ukiwa ni mwezi mmoja kupita tangu gazeti hili kuandika kilio cha wadau hao kwenye kodi wakidai zipo takribani 25 zinazowanyima…

Read More