
Mpina ‘anavyobanana’ na CCM | Mwananchi
Bariadi. Kauli ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Shemsa Mohammed ya kumtaka Mbunge wa Kisesa Wilaya ya Meatu mkoani humo, Luhaga Mpina kuacha siasa alizoziita za ‘majitaka’ imeendelea kukoleza msuguano kati ya mbunge huyo na chama chake. Mpina amekuwa kwenye msuguano na uongozi wa chama hicho mkoani Simiyu, kiasi cha kuitwa kwenye Kamati ya…