Championship mwuisho wa ubishi ni kesho

Pazia la Ligi ya Championship msimu huu linafungwa kesho Jumapili huku utamu utakuwa jijini Arusha wakati Pamba itakaposaka nafasi ya kuzika mzimu ulioitesa kwa zaidi ya miaka 20 kutopanda Ligi Kuu. Ligi hiyo iliyoanza Septemba 9 ikishirikisha timu 16 inafika tamati huku Ken Gold ikiwa imepanda Ligi Kuu na pointi 67 ikiwa na mechi moja,…

Read More

Kaya 902 zaachwa bila makazi Moshi

Moshi. Zaidi ya kaya 902 zimebainika kuathiriwa na mafuriko ya mvua wilayani Moshi, Mkoani Kilimanjaro baada ya kufanyika kwa tathmini ya awali. Mafuriko hayo yalitokea juzi Alhamisi Aprili 25, 2024 baada ya kunyesha kwa mvua kubwa na kusababisha vifo vya watu saba wakiwemo wanne wa familia moja. Hayo yamesemwa leo Jumamosi Aprili 27, 2024 na…

Read More

Prince Dube aishi kifahari dar, aiponza Yanga

MWANASPOTI linajua vigogo walio karibu na Yanga wamempa maisha ya kifahari staa anayepambana kuvunja mkataba na Azam, Prince Dube lakini klabu imeingia msituni kwa staili ya tofauti. Dube kwa sasa anaishi kwenye jumba moja la kifahari maeneo ya Salasala, Dar es Salaam kilomita chache kutoka kwenye ufukwe wa bahari ya Hindi. Lakini habari za ndani…

Read More

Polisi yaita wenye taarifa kuhusu kifo cha Zuchy

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi nchini Tanzania limewataka watu wenye taarifa tofauti juu ya ajali ya bodaboda iliyotokea alfajiri ya jana Ijumaa Aprili 26, 2024, eneo la Makonde, mkoani Dar es Salaam na kusababisha kifo cha Noel Mwingira, maarufu Zuchy wazipeleke zifanyiwe kazi. Katika ajali hiyo, dereva bodaboda ambaye jina bado halijafahamika alijeruhiwa na…

Read More

Vita ya ubingwa Ligi Kuu Bara karata ngumu

YANGA, Azam na Simba ndizo timu zinazopigania nafasi mbili za juu katika msimamo wa Ligi Kuu Bara msimu huu ili kupata nafasi ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. Pia ndizo zinazowania ubingwa unaoshikiliwa na Yanga. Katika kipindi hiki cha lala salama ya msimu wa 2023/24, ngoma imekuwa ngumu kutokana na wapinzani…

Read More

Mmoja mbaroni kwa tuhuma za kumuua Mwenyekiti wa kijiji Same

Same.Watu watatu wa familia moja, katika kitongoji cha Kampimbi, Kijiji cha Ndungu, Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro wanadaiwa kumshambulia na kumuua kwa kumkata sehemu za  kichwa na begani na kitu kinachodhaniwa kuwa na ncha kali,  Mwenyekiti wa kitongoji cha Sinangoa A, Charles Mkuruto na kumsababishia kifo chake. Mwenyekiti huyo ambaye pia ni Mjumbe wa Baraza…

Read More

Tuzo ya ufungaji Bara ngoma droo

MBIO za kuwania tuzo ya Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Bara msimu huu ngoma nzito kikanuni, licha ya nyota wa Yanga, Stephane Aziz KI na Feisal Salum ‘Fei Toto’ wa Azam wakichuana katika orodha ya wafungaji wa mabao hadi sasa. Aziz Ki na Fei wanachuana kuwania tuzo hiyo ambayo msimu uliopita ilibebwa kwa pamoja na…

Read More

ACT Wazalendo chapigia chapuo waongoza watalii

Moshi. Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali, kusimamia na kuhakikisha waongoza watalii wanalipwa masilahi stahiki ili kuwa chachu ya kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini. Rai hiyo imetolewa leo Aprili 27, 2024 na kiongozi wa ACT Wazalendo, Dorothy Semu alipotembelea kituo cha utalii cha Materuni Waterfalls akiwa ameongozana na viongozi mbalimbali wa chama hicho wakiwamo…

Read More