NIONAVYO: Soka la kununua bila kuuza halina tija

SHIRIKISHO la Soka Ulaya (UEFA) lina sheria na taratibu za kuhakikisha kuna nidhamu ya mapato na matumizi miongoni mwa nchi wanachama wake ikiwa ni pamoja na klabu. Lengo la utaratibu huu siyo tu kuondoa ‘fedha chafu’ kwenye soka, pia kuhakikisha kuna utamaduni unaofanana katika matumizi ya fedha bila kujali klabu kubwa na ndogo. Katika utaratibu…

Read More

Wakazi wa Njombe waiomba Tarura kutelekeza ujenzi wa daraja

Njombe. Wakazi wa mitaa ya Igangidung’u na Maguvani Kata ya Kivavi Halmashauri ya Mji wa Njombe, wameiangukia Serikali ikamilishe ujenzi wa daraja lililoanza kujengwa tangu mwaka 2022. Wakizungumza na Mwananchi Digital leo Ijumaa Aprili 26, 2024 wananchi hao wamesema kipindi hiki cha mvua eneo hilo halipitika na ni adha kubwa kwao. Wameiomba Serikali kupitia Wakala…

Read More

Sababu za mafuriko kuivuruga dunia

Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikiomboleza vifo vya watu 162 vilivyotokana na janga la mafuriko linalosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha, janga hilo ni sehemu tu ya taswira kubwa ya mateso yanayoathiri mataifa mengi barani Afrika na duniani kote kwa sasa. Sababu ya mafuriko yanayovuruga dunia nzima, imeelezwa kuwa ni matokeo ya mabadiliko ya tabianchi…

Read More

Mastaa Yanga wawaachia msala Azizi KI, Musonda

ACHANA na matokeo yaliyopatikana kati ya Yanga na JKT Tanzania unaambiwa wachezaji zaidi ya watatu ndani ya kikosi cha Yanga wamemtupia zigo kiungo Stephane Aziz Ki na Keneddy Musonda kumaliza suala la penalti na kufunga. Mastaa hao ambao walikuwa wanataja sifa za wachezaji wao waliopo kikosini wakiainisha kuanzia mguu wa kushoto, wa kulia, mkali wa…

Read More

DC Timbuka: Tunapanga namna nzuri ya kuwanusuru wananchi na mafuriko

Siha. Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kuathiri maeneo mengi nchini, Mkuu wa Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro, Dk Christopher Timbuka amesema wanapanga namna nzuri ya kuwanusuru wananchi na hatari ya mafuriko. Hata hivyo, amesema wakati Serikali ikiendelea na mipango na mikakati yake, amewomba wananchi nao waendelee kuchukua tahadhari hasa wale wanaoishi katika maeneo hatarishi…

Read More

Chanongo hatihati kuivaa Mbuni | Mwanaspoti

Arusha: Kiungo mshambuliaji wa Pamba Jiji FC, Haruna Chanongo huenda akakosa mchezo wa mwisho wa Ligi ya Championship dhidi ya Mbuni FC kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya nyama za paja. Umuhimu wa nyota huyo unatokana na kuwa ndiye kinara wa ufungaji kwenye kikosi hicho cha TP Lindanda kinachonolewa na kocha Mbwana Makata akiwa amehusika…

Read More

TANROADS YAWEKA KAMBI BARABARA YA MOROGORO- IRINGA KUZIBA MASHIMO MAENEO YALIYOHARIBIWA NA MVUA

Na Aisha Malima-Morogoro Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Morogoro inaendelea na kazi ya kuziba mashimo na kukarabati barabara kuu ya Morogoro – Iringa ikiwemo katika eneo la Kobogwa lilipo katika hifadhi ya Taifa ya Mikumi ambapo kumetokea shimo kubwa baada ya maji kupita pembezoni mwa Kalvati. Akizungumza na Kipindi cha TANROADS…

Read More

Mke wa Sumaye aibuka kidedea kortini

Kilimanjaro. Esther Frederick Sumaye ambaye ni mke wa Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, ameibuka kidedea katika kesi ardhi ya kugombea shamba namba 25 lililopo Madale eneo la Wazo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Hata hivyo, Jaji Elinaza Luvanda wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Ardhi aliyesikiliza kesi hiyo namba 99 ya 2023…

Read More