Fursa ya miaka mitano kwa wanafunzi wa UDSM hii hapa

Dar es Salaam. Ni matumaini kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wa fani ya uhandisi wasiomudu gharama za masomo baada ya Kampuni ya Advent Construction Limited kuingia makubaliano na chuo hicho kufadhili wanafunzi watano kila mwaka. Makubaliano hayo yaliyosainiwa jana Alhamisi Aprili 25,2024 baina ya UDSM na kampuni hiyo itawanufaisha wanafunzi…

Read More

Baba Bacca: Sitaki Bacca aende Simba

KAMA ilivyo kwa wazazi, huwa na mipango yao juu ya watoto wao, bila kujua kuwa baadae inaweza isitimie ndivyo ilivyotokea kwa Mzee Abdallah Hamad ‘Bacca’. Kuna wakati unamwacha mtoto au mtu wako wa karibu kufanya kile anachokipenda zaidi hata kama wewe hukipendi kwa sababu yeye ndie anayekifanya. Lakini tunaambiwa ni bora kumwacha mtu afanye anachokipenda…

Read More

SERA YA ELIMU 2024 KUONGEZA KASI YA TEKNOLOJIA KWA TAIFA.

Serikali kupitia wizara ya Elimu sayansi na teknolojia imejipanga kufanya mapitio ya mitaala kuanzia ngazi ya awali hadi chuo kikuu ili kuwanoa wanafunzi watakaondana na ukuaji wa teknolojia ulimwenguni ili kuleta chachu kwa maslahi ya taifa ikiwa na lengo la kusimamia utekelezaji wa sera ya elimu ya 2024 itakayosaidia kuongeza ufanisi kwa watumishi wa Umma….

Read More

Rais Samia atabiri 2030 Tanzania kuwa na CDF mwanamke

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amedokeza huenda mwaka 2030 Tanzania ikawa na Mkuu wa Majeshi mwanamke. Msingi wa dokezo lake hilo ni kile alichoeleza, katika onyesho la Paradushi mwaka huu, limejumuisha askari wa kike tofauti na miaka yote. Onyesho hilo lililofanyika katika sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa…

Read More

Mbadala wa Aucho Yanga huyu hapa

YANGA wameanza mapema kukifanyia maboresho kikosi chao kuelekea msimu ujao, baada ya kupiga hodi kuulizia huduma ya kiungo mkabaji, Yusuph Kagoma kama mbadala mpya wa staa wao, Khalid Aucho. Kagoma ni kati ya viungo wakabaji wazawa wanaofanya vizuri katika Ligi Kuu Bara ambapo msimu huu amekuwa akiitumikia Singida Fountain Gate aliyojiunga nayo kipindi cha usajili…

Read More

Daraja Mto Luipa kunusuru maisha ya wananchi Mlimba

Wakazi wa vijiji vya Kisegese, Chiwachiwa na Lavina katika Kata ya Namwawala na Mbingu na Igima wataepuka hatari ya kupotezamaisha baada ya daraja jipya kuanza kujengwa katika Mto Luipa   Daraja linalotumika sasa ni la mbao linalodaiwa kukatika mara kwa mara na kusababisha vifo na majeruhi kwa watumiaji wake. Miongoni mwa miradi iliyipitiwa na mwenge…

Read More

Rais Samia aionya Simba fainali Muungano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan ameionya klabu ya Simba wakati ikijiandaa kukutana na Azam kwenye fainali ya Kombe la Muungano. Akizungumza leo kwenye kilele cha Miaka 60 ya Muungano, Rais Samia amesema Simba haitakiwi kuidharau Azam kwenye mechi hiyo ya fainali itakayochezwa kesho kuanzia saa 2:15 usiku kwenye Uwanja…

Read More