
Mvua ya maafa yazidi kutikisa nchini
Dar/mikoani. Ni wimbi la majanga lililopoka uhai wa binadamu, kuathiri makazi na hata kukwaza shughuli za kiuchumi, ndiyo lugha nyepesi unayoweza kuitumia kuakisi kiwango cha athari za mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini. Mvua hizo za El-Nino zilizoanza kunyesha Oktoba mwaka jana, hadi sasa zimefululiza kwa miezi saba na kukatisha uhai wa watu 162 nchini,…