Fei asaka rekodi za Bocco, Kipre Tcheche

BAADA ya kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ kuyafikia mabao 14 aliyofunga, Prince Dube msimu wa 2020/21, amebakiwa na mitihani miwili ndani ya kikosi hicho. Fei Toto ambaye huu ni msimu wake wa kwanza kucheza Azam, ndiye kinara wa mabao (14) kwa chama hilo, pia ametoa asisti sita, ingawa anayeongoza kwa asisti ni…

Read More

Simulizi ya aliyefungwa kwa kumkashifu Rais baada ya kuachiliwa

Bariadi. “Maisha yangu yamebadilika. Mfumo wangu wa maisha wote umerudi nyuma, kwa sasa ni kama naanza upya kwa kuwa shughuli zote nilizokuwa nazifanya, ikiwemo kusimamia kandarasi ya majengo mbalimbali zimesimama.” Huyo ni Levinus Kidanabi (35) almaarufu kama ‘Chief Son’ aliyehukumiwa kifungo cha miaka saba jela na faini ya Sh15 milioni kwa makosa matatu, likiwamo la…

Read More

TANZANIA YACHAGULIWA KUWA MAKAMU MWENYEKITI BARAZA LA MAWAZIRI WA MAJI KAMISHENI YA BONDE LA MTO ZAMBEZI

TANZANIA imechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa ZAMCOM katika mwaka 2024-2025 kwenye Mkutano wa 11 wa Baraza la Mawaziri wa Maji wa Kamisheni ya Bonde la Mto Zambezi (Zambezi Watercourse Commission – (ZAMCOM) unaoendelea mjiji Tete Nchini Msumbiji. Uchaguzi huo umefanyika kufuatia Msumbiji kumaliza muda wake na kukabidhi uenyekiti kwa Namibia, Hivyo, Tanzania inategemewa kuwa Mwenyekiti…

Read More

Mvua yatishia uwepo wa Ligi Kuu

Mvua zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali hapa nchini, zimeonekana kutishia kutibua ratiba ya michezo ya Ligi Kuu Bara. Jumanne wiki hii, ilishuhudiwa mchezo baina ya JKT Tanzania dhidi ya Yanga ukiahirishwa muda mfupi kabla ya kuanza kutokana na hali ya Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo kutokuwa nzuri. Uwanja huo uliopo Mbweni, Dar es Salaam, ulijaa…

Read More

JKCI yaokoa Sh1.2 bilioni kwa kutibu watoto 40 nchini

Dar es Salaam. Upasuaji wa watoto 40 wenye matatizo ya kuzaliwa nayo ya moyo uliofanyika kwa siku nane nchini umeokoa Sh1.2 bilioni ambazo zingetumika kama wangetibiwa nje ya nchi. Madaktari wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao kutoka nchini Uingereza kesho Aprili 26, wanahitimisha siku nane za upasuaji wa watoto…

Read More

MWENGE WA UHURU KUINGIA MKOA WA PWANI APRILI 29

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge akizungumza  na Waandishi wa Habari  Ofisini kwake leo Aprili  25, 2024 hawapo pichani. Na Khadija Kalili, Michuzi Tv MKUU wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge ametoa ratiba ya kuukimbiza Mwenye wa Uhuru ambao utaingia Mkoa wa Pwani Aprili 29 ukitokea Mkoa wa Morogoro. Akizungumza katika mkutano…

Read More

Kaizer Chiefs yamuhitaji Amrouche | Mwanaspoti

ADEL Amrouche amerejea tena kwenye rada za kuinoa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, baada ya timu hiyo kuonekana kuhitaji kocha mwingine kwa ajili ya msimu ujao. Ripoti kutoka Afrika Kusini zinabainisha kwamba, kocha huyo raia wa Algeria aliyeiongoza Taifa Stars katika michuano ya Afcon 2023 iliyofanyika Ivory Coast, anapewa nafasi kubwa kutokana na hapo awali…

Read More

Rais Samia ampa zawadi ya fedha Changalawe na wenzake

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemzawadia zawadi ya fedha nahodha wa timu ya taifa ya Faru Weusi wa Ngorongoro, Yusuph Changalawe na wenzake kutokana na kufanikiwa kushinda medali tatu za shaba katika michuano ya All African Games. Mabondia waliofanya vizuri katika mashindano hayo mbali ya Changalawe ni Mussa Maregesi…

Read More

Watu wanne wafariki dunia ajali ya moto Kagera

Kagera. Watu wanne wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa katika ajali ya moto baada ya nyumba waliyokuwa wanaishi kuungua moto unaodaiwa kusababishwa na mafuta ya petroli yaliyokuwa yamehifadhiwa kwenye madumu. Ajali hiyo imetokea alfajiri leo Aprili 25, 2024 katika Kata ya Rusumo, Wilaya ya Ngara mkoani Kagera kwenye nyumba ya Dominick Didas, yenye vyumba vinne…

Read More