Mvua zasababisha vifo 155, Majaliwa atoa maelekezo 14

Dar es Salaam. Mvua kubwa za El-Nino zilizoambatana na upepo mkali, mafuriko na maporomoko ya udongo katika maeneo mbalimbali nchini zimesababisha vifo vya watu 155 na wengine 236 kujeruhiwa. Hayo yameelezwa bungeni leo Aprili 25, 2024 katika taarifa ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kuhusu changamoto za…

Read More

e-BOARD IMETAJWA KURAHISISHA UENDE SHAJI WA VIKAO NA KUPUNGUZA GHARAMA.

Na Mwandishi wetu Matumizi ya Mfumo wa kuwezesha uratibu wa shughuli za uandaaji wa vikao mbalimbali vya bodi na menejimenti katika Halmashauri na Taasisi za Umma. (e-Board), umetajwa kurahisisha uendeshaji wa vikao na kupunguza gharama za maandalizi katika halmashauri ya Manispaa ya Ilemela jijini Mwanza. Akizungumza kuhusu mfumo huo ofisini kwake jijini Mwanza, Mkurugenzi Mtendaji…

Read More

Beki azichonganisha Azam, Ihefu | Mwanaspoti

AZAM FC imeanza mazungumzo ya kumuongezea mkataba mpya beki kiraka, Natahaniel Chilambo lakini wakati hilo likitokea, Ihefu imeibuka ghafla na kuonyesha nia ya kumhitaji mlinzi huyo wa zamani wa Ruvu Shooting. Uongozi wa Ihefu unafahamu fika kuwa mkataba wa Chilambo na Azam FC utafikia tamati mwishoni mwa msimu huu hivyo kikanuni inaruhusiwa kufanya mazungumzo naye…

Read More

MWENYEKITI PANG XINXING WA STARTIMES GROUP AHUDHURIA MKUTANO WA HARVARD KENNEDY SCHOOL CHINA

MKUTANO wa 5 wa Harvard Kennedy School China umefanyika katika Shule ya Harvard Kennedy Usiku wa tarehe 21, Pang Xinxing, Mwenyekiti wa Startimes Group, alialikwa kuhudhuria mtandaoni. Aidha Lengo Mkutano huo ni kujenga daraja la mawasiliano kati ya China na ulimwengu, kutoa jukwaa rafiki na wazi kwa majadiliano kati ya academia ya kimataifa, serikali, biashara,…

Read More

Tanapa yafufua ujenzi hoteli ya kitalii Chato

Chato. Ujenzi wa Hoteli ya Kitalii ya nyota tatu katika Kijiji cha Rubambagwe, Wilaya ya Chato, Mkoa wa Geita uliokuwa umesimama kutokana na ukosefu wa fedha, unatarajia kuendelea baada ya Serikali kutoa Sh480 milioni. Hoteli hiyo inajengwa na Suma JKT ikiwa na lengo la kuchochea utalii katika Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo na…

Read More