
TOGABE MILLS, KISHINDO CHA MAMA WATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI
WANACHAMA wa Kishindo cha Mama kwa kushirikiana na TOGABE Mills watoa Msaada kwa waathirika wa Mafuriko Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani. Wametoa misaada mbalimbali ya kibinadamu vikiwemo Unga, Maharage, Mchele, Mafuta ya Kupikia pamoja na nguo. MKuu wa Wilaya ya Rufiji, Meja Edward Gowele (Watano kutoka kushoto) Wanachama wa Kishindo cha Mama na TOGABE Mills…