Rais Samia Suluhu Hassan Atunuku Nishani Viongozi Mbalimbali

RAIS Samia Suluhu Hassan Atunuku Nishani Viongozi Mbalimbali katika shamrashamra za miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimtunuku na kumvalisha Nishani ya Mwenge wa Uhuru Daraja la Pili Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Serikali…

Read More

Picha: GSM afika China kushuhudia maonesho ya Canton Fair 2024

Ikiwa Silent Ocean ltd ‘Simba wa Bahari’ kutangaza Good news ya kuwarahisishia wateja wao wote pindi wanapoingia nchini China kwaajili kufanya manunuzi ya bidhaa zao kwenye maonesho Makubwa ya Kimataifa ya Biashara Canton Fair 2024. Sasa hapa nimekusogezea picha mbalimbali zikionesha Watanzania waliopokelewa na Silent Ocean Ltd, pia zikiwemo za Mfanyabiashara na Rais kampuni ya…

Read More

Tupunguze matumizi ya pombe isiyozimuliwa ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa iwapo jamii itapunguza matumizi ya pombe isiyo zimuliwa yaliyokithiri itasaidia kukabiliana na kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza. Waziri Ummy amesema hayo Aprili 23, 2024 Jijini Dar Es Salaam wakati akifungua na kuhutubia Mkutano unaojadili namna ya kukabiliana na Magonjwa Yasiyoambukiza Barani Afrika, ambapo amesema kiwango cha Matumizi ya…

Read More

Mastaa sita Simba wanavyoibeba Yanga

WAKATI mashabiki wa Simba wakiendelea kulia na mastaa wa kikosi chao baada ya timu yao kukosa matokeo mazuri lakini upande wa pili umefichua juu ya sajili sita nzito za wekundu hao zinazowabeba watani wao Yanga. Ndani ya kikosi cha Yanga kuna mastaa sita ambao waliwahi kutajwa kutakiwa na Simba lakini ghafla watani wao wakajibebea kiulaini…

Read More