Kombe la Muungano lilifia hapa

KLABU ya Yanga ya Dar Es Salaam imegoma kushiriki mashindano mapya ya Kombe la Muungano, yatakayofanyika Aprili 23 hadi 27 mjini Zanzibar. Rais wa Shirikisho la soka Zanzibar (ZFF), Suleiman Mahmoud amesema kwamba timu za Simba na Azam FC ndizo pekee kati ya zilizopewa mwaliko kutoka Bara zilizothibitisha kushiriki. Mahmoud ameeleza kuwa walipokea barua ya…

Read More

Aliyefariki ajali ya Kalaba azikwa, familia yamkana mume

WANAFAMILIA na marafiki wa Charlene Mumba Kabaso, aliyefariki katika ajali iliyotokea Aprili 13, 2024 eneo la Kafue nchini Zambia wamejumuika kutoa heshima za mwisho na kumpumzisha kwenye makazi yake ya milele, huku ikibainishwa kwamba hakuwa mke wa Boyd Mkandawire kama ilivyoelezwa awali. Charlene alifariki dunia Aprili 13, mwaka huu katika ajali ya gari aina ya…

Read More

WAZIRI JAFO AWASILISHA BAJETI YA MWAKA 2024/25

Ofisi ya Makamu wa Rais inaandaa Mfumo wa Kieletroniki wa Uratibu wa Taarifa za Masuala ya Muungano na yasiyo ya Muungano. Pia, inaanzisha Kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (MAKAVAZI) ili kuwa na mfumo endelevu wa kuhifadhi kumbukumbu na nyaraka za mambo ya Muungano ili kuongeza uelewa wa masuala ya…

Read More

ACHENI TABIA ZA KUJICHUKULIA SHERIA MKOANI:

Home » ACHENI TABIA ZA KUJICHUKULIA SHERIA MKOANI: Na Issa Mwadangala Wananchi wa Kijiji cha Itewe Kata ya Itaka Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe wametakiwa kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi pindi uhalifu unapotokea katika maeneo yao bali wametakiwa kutoa taarifa hizo kwa Jeshi la Polisi ili ziweze kushughulikiwa kwa haraka.Rai hiyo ilitolewa na Mkuu…

Read More

Maeneo kumi ya vipaumbele yaainishwa bajeti ya ofisi ya rais mipango na uwezekaji

Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo (Mb.), amewasilisha bajeti ya wizara yake yenye vipaumbele 10 vitakavyotekelezwa mwaka 2024/25. Akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25 leo Bungeni jijini Dodoma, Prof. Mkumbo amesema kuwa bajeti hiyo imebeba malengo ya kuratibu mipango thabiti inayolenga kuleta maendeleo endelevu na…

Read More

Kiongozi mbio za mwenge atoa maagizo haya kwa viongozi

Katika kuendelea kuboresha utendaji Kazi Kwa Viongozi wa taasisi za serikali Kiongozi wa Mbio za mwenge wa uhuru kitaifa 2024 Godfrey Mnzava amewataka kutekeleza takwa la Kisheria matumizi ya Mfumo wa manunuzi kidigitali kwenye utekelezaji wa Miradi pamoja na utoaji zabuni kwenye maeneo yao, kuepusha mianya ya rushwa pia uwazi wa mchakato wa zabuni kwa…

Read More

Mvua yasababisha barabara nne kufungwa Dar

Dar es Salaam. Mvua zinazoendelea kunyesha zimesababisha kufungwa kwa baadhi ya barabara mkoani Dar es Salaam. Maeneo ambayo barabara zimefungwa ni Jangwani, Mkwajuni, Africana, na ya kutokea Kibada kuelekea Kisarawe 2, ambako daraja limevunjika na kukata mawasiliano. Kwa mujibu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Dar es Salaam, kufungwa kwa barabara hizo kumesababishwa na…

Read More