Simba ilirahisisha ushindi wa Yanga Dabi

Ushindi wa mabao 2-1 ambao Yanga iliupata dhidi ya Simba katika dabi ya Kariakoo, Jumamosi iliyopita kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, yanaweza kuwa matokeo yaliyorahisishwa kwa kiasi kikubwa na timu iliyopoteza mchezo huo. Hakikuwa kibarua kigumu kwa Yanga kupata ushindi katika mechi hiyo tofauti na uhalisia unaotakiwa wa timu kupaswa kufanya kazi ngumu kupata ushindi…

Read More

Wizi wa misalaba makaburini wawashitua Shinyanga

Shinyanga. Usemi wa “Kufa Kufaana” unakamilisha dhana ya kinachoendelea mjini Shinyanga kutokana na kukithiri kwa wizi wa misalaba kwenye makaburi. Wakati wananchi wakiomboleza kuwapoteza wapendwa wao na kuwasitiri vema kwa kujengea makaburi na kuweka misalaba juu yake kulingana na imani zao, watu wasiojulikana wamekuwa na ujasiri wa kuiba misalaba hiyo. Misalaba inayolengwa zaidi  ni ile…

Read More

Aucho ashindwa kujizuia kwa Kazi

KIPIGO cha pili mfululizo kwa Simba kutoka kwa watani wao wa Yanga, kunawapa wakati mgumu mabosi wa Msimbazi kwani kwa sasa wana kazi ngumu ya kurejesha tabasamu usoni mwa wanasimba kutokana na hali  ilivyokuwa kwa wachezaji, benchi la ufundi na mashabiki wa klabu hiyo baada ya dakika 90 za Kariakoo Dabi. Simba ilipoteza kwa mabao…

Read More

Agizo la Rais Samia latekelezwa, treni mwendokasi yaanza majaribio Dar – Dodoma

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Katika kutekeleza maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan, Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanza majaribio ya treni ya mwendokasi inayotumia umeme kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma kuelekea hatua ya kuanza rasmi ifikapo mwishoni mwa Julai. Wakati akihutubia Taifa Desemba 31,2023 Rais Samia aliliekeleza TRC kuhakikisha linaanza rasmi safari za…

Read More

Taliss mabingwa mashindano ya Taifa ya Klabu

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Timu ya mchezo wa kuogelea ya Taliss, imeibuka mabingwa wa jumla wa mashindano ya Taifa ya Klabu baada ya kujikusanyia pointi 385. Katika mashindano hayo ya siku mbili yaliyomalizika leo Aprili 21,2024, mshindi wa pili ni Dar Swimming iliyopata pointi 330 , namba tatu ni Mwanza Club yenye alama 96,…

Read More

Ulinzi Yawachezesha Kwata Wapinzani Katika Darts

Bingwa wa mchezo wa vishale (Darts) wanawake Scholastica Kaizer kutoka wa timu ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (Ulinzi Sports Club) akionesha utaalamu wake wakati wa michuano ya Kombe la Mei Mosi Taifa 2024 inayoendelea Jijini Arusha. Na Mwandishi Wetu, Arusha WACHEZAJI Omary Mmbaga na Scholastica Kaizer wa timu ya Wizara ya…

Read More