Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Year: 2024

  • Home
  • 2024
  • Page 2,293
Habari

TANZANIA NA IVORY COAST ZAINGIA RASMI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO KWENYE SEKTA YA MICHEZO

April 21, 2024 Admin

  Na, Brown Jonas – WUSM, Dar es Salaam. WIZARA ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imeingia makubaliano ya ushirikiano na Wizara ya Michezo ya Ivory

Read More
Habari

KLABU YA ROTARY DAR YASHUSHA MADAWATI 1000 SHULE TANO ZA MSINGI DAR

April 21, 2024 Admin

KLABU Ya Rotary Dar yaendelea Kuweka Mikakati ya kuchangia ufaulu wa Wanafunzi wa shule za Misingi kwa kuboresha Mazingira rafiki ya Kujisomea kwa kugawa Madawati

Read More
Habari

MVUTANO VYAMA VYA WAFANYAKAZI KIKWAZO VIKAO BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA ARDHI

April 21, 2024 Admin

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bi. Lucy Kabyemera akiongea na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara yake leo

Read More
Habari

WAZIRI NDUMARO AITAKA TIMU YA FGA KUPAMBANA KUBAKI KWENYE LIGI

April 21, 2024 Admin

WAZIRI  wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameitaka Timu ya mpira wa miguu ya FGA ya mkoani Ruvuma ambayo inashiriki Ligi Daraja la

Read More
Habari

WAZIRI NDEJEMBI-SERIKALI INAYAFANYIA KAZI MAPENDEKEZO MABORESHO SHERIA YA FIDIA KWA WAFANYAKAZI

April 21, 2024 Admin

  NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID, KIGOMA WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu), Mhe. Deogratius Ndejembi amewahakikishia Majaji wa

Read More
Michezo

MNYAMA KATEPETA TENA MBELE YA WANANCHI

April 21, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KLABU ya Yanga imeendelea kutamba mbele ya watani wao Simba Sc mara baada ya kufanikiwa kuichapa 2-1 kwenye dimba la

Read More
Habari

MHE. KATAMBI ATETA NA VIONGOZI TUCTA KUELEKEA SHEREHE ZA MEI MOSI 2024

April 21, 2024 Admin

Na; Mwandishi Wetu – Arusha NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi Vijana na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amekutana na kufanya kikao na

Read More
Habari

MKAGUZI MKUU WA NDANI KUONGEZA USIMAMIZI WA MAPATO NA MATUMIZI

April 21, 2024 Admin

Na. Peter Haule, WF. Arusha Mkaguzi Mkuu wa Ndani (IAG), Bw. Benjamini Magai amesema ofisi yake itafanya mabadiliko makubwa katika taratibu za ukaguzi katika maeneo

Read More
Habari

Msigwa ataka mdahalo na Sugu uenyekiti Kanda ya Nyasa

April 21, 2024 Admin

Mbeya. Mgombea uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa amesema mkakati wa chama hicho ni kupambana na kushinda

Read More
Habari

Manispaa ya Temeke yatumia Mamilioni ya fedha bila kufuata mifumo ya kudhibitishwa ubora

April 21, 2024 Admin

*Wafanya manunuzi nje ya mfumo zaidi ya sh.Bilioni Mbili Na Chalila Kibuda ,Michuzi Manispaa ya Temeke ya katika ripoti ya CAG iliweza kutumia kiasi cha

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 2,292 2,293 2,294 … 2,317 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.