Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Year: 2024

  • Home
  • 2024
  • Page 2,294
Habari

KAMATI YA BUNGE UGANDA, YAVUTIWA NA MIUNDOMBINU YA UDOM

April 21, 2024 Admin

Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa, ya Bunge la Uganda imeipongeza Serikali ya Tanzania kwa uwekezaji mkubwa iliyofanya katika ujenzi wa Chuo Kikuu cha

Read More
Habari

MABALOZI WA TANZANIA WAJIFINGIA KIBAHA, KUTAFAKARI NA KUJIPANGA UPYA

April 21, 2024 Admin

Mabalozi wanaowakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani na Wakuu wao wa utawala wamejifungia katika Chuo cha Uongozi Cha Mwalimu Julius Nyerere mjini Kibaha kwa siku

Read More
Habari

Wataalamu wa maabara wapaza sauti Zanzibar

April 21, 2024 Admin

Unguja. Utaratibu ulioanzishwa na Serikali wa kuendesha huduma za maabara za afya kwa utaratibu wa ubia kupitia kampuni na mashirika binafsi kwenye hospitali, umeendelea kuibua

Read More
Habari

NAIBU WAZIRI KATAMBI AFUNGUA MICHEZO YA MEI MOSI MKOANI ARUSHA

April 21, 2024 Admin

Na; Mwandishi Wetu – Arusha Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe Patrobas Katambi amefungua rasmi michezo ya

Read More
Habari

SERIKALI KUTANGAZA RIPOTI YA SENSA YA WANYAMA NA UTALII KESHO

April 21, 2024 Admin

Na John Mapepele Kesho Serikali inakusudia kutangaza rasmi matokeo ya Sensa ya Wanyamapori na kuzindua taarifa ya Watalii wa Kimataifa walioitembelea Tanzania mwaka 2023 katika

Read More
Habari

DKT.GWAJIMA ATOA AGIZO MEWATA KUTOA ELIMU YA UKATILI WA KIJINSIA KWA JAMII

April 21, 2024 Admin

NA ZIANA BAKARI WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye mahitaji maalumu, Dk. Dorothy Gwajima, amewataka wanachama wa Chama Cha Madaktari Wanawake Tanzania

Read More
Habari

Wanawake wa Mkoa wa Pwani waaswa kujitokeza kujisajili kwenye mpango mpya

April 21, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Pwani Wanawake nchini wameombwa kujitokeza kwa wingi na kujisajili kwenye mpango mpya wa ‘Imarisha Uchumi na Mama Samia’ ili waweze kuunganisha kikamilifu

Read More
Habari

Singida yalipa Mamilioni ya Fedha kwa stakabadhi bandia

April 21, 2024 Admin

*OR-TAMISEMI ,TRA zapewa ushauri na CAG Na Chalila Kibuda,Michuzi Blog Halmshauri ya Singida mkoani Singida yatumia malipo ya sh. Milioni 147.29 yaliyodhibitishwa na Stakabadhi Bandia

Read More
Habari

UMASIKINI WADAU WA KUCHANGIA UHARIBIFU WA MAZINGIRA NCHINI

April 21, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Morogoro IMEELEZWA kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya umaskini na uharibifu wa mazingira hivyo ni muhimu wadau wa uhifadhi kuendelea kushirikiana na

Read More
Habari

WAZIRI MKUU AWAAGA VIONGOZI WA DINI, UZINDUZI WA ROUTE YA SGR DAR – DODOMA

April 21, 2024 Admin

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaaga viongozi wa dini 104 ambao wanaelekea Dodoma kwa treni ya mwendokasi (SGR) kwenda kushiriki ibada maalum ya kuliombea Taifa inayotarajiwa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 2,293 2,294 2,295 … 2,317 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.