Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Year: 2024

  • Home
  • 2024
  • Page 2,296
Michezo

Mtoko wa KenGold twenzetu Ligi Kuu Bara

April 21, 2024 Admin

WAKATI Ken Gold ikishuka uwanjani leo Jumapili dhidi ya FGA Talents, Jiji la Mbeya litasimama kwa muda kushangilia historia ya mafanikio kwa timu hiyo kupanda

Read More
Michezo

MTU WA MPIRA: Hili la Dube ni mtihani mwingine wa soka letu

April 21, 2024 Admin

KUNA vitu vinakera sana. Kuna vitu vinakwaza mno. Unajiuliza mpaka sasa katika dunia ya leo bado tunaishi katika zama za kale. Ni kama hili tukio

Read More
Habari

Eti tusiwachape watoto wakikosea, tuwafanyeje?

April 21, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mwaka jana nilipata bahati ya kutembelea sehemu zaidi ya tatu ambazo wazazi na walezi hawaruhusiwi kupiga watoto wao viboko. Na ninaposema hawaruhusiwi

Read More
Habari

Madhara kuyapa kisogo malezi ya mtoto wa kiume

April 21, 2024 Admin

Dar es Salaam. Uwezeshwaji katika nyanja na fursa mbalimbali kwa watoto wa kike umeshuhudiwa kwa kiasi kikubwa katika zama hizi ambapo kuna namna mtoto wa

Read More
Habari

Watu 50 pekee kushiriki mazishi ya CDF Ogolla

April 21, 2024 Admin

Kenya. Watu 50 pekee watashiriki kumzika aliyekuwa Mkuu wa majeshi ya Kenya, Jenerali Francis Ogolla, tovuti ya Nation nchini humo imeripoti. Miongoni mwa watu hao

Read More
Michezo

Yanga yaitawala Simba nje ndani

April 20, 2024 Admin

Ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu unazidi kuikaribia Yanga na sasa inahitajika kupata ushindi katika mechi tano na sare moja kati ya mechi nane

Read More
Michezo

Aziz Ki: Nimeahidi, nimetimiza | Mwanaspoti

April 20, 2024 Admin

Kiungo wa Yanga SC, Stephanie Aziz Ki, amesema ana furahi kuona ile ahadi yake ya kufunga bao katika Kariakoo Dabi, ameitimiza. Aziz Ki alimuahidi Mjumbe

Read More
Michezo

Gamondi, Benchikha wakutana na sapraizi Kwa Mkapa

April 20, 2024 Admin

Unaweza kusema ni kama makocha wa timu zote mbili, Miguel Gamondi wa Yanga na Abdelhak Benchikha wa Simba wamekutana na sapraizi, baada ya kulazimika kufanya

Read More
Habari

TANZANIA YAIPATIA ZAMBIA SCANA ILI KUTATUA CHANGAMOTO ZA BIASHARA MPAKANI – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 20, 2024 Admin

Serikali za Tanzania na Zambia zimefanikiwa kufuta kero nne kati ya kero 15 zilizokuwepo awali ili kurahisisha michakato ya biashara ya nchi hizo kutegemeana kibiashara.

Read More
Habari

Mafuriko yafunga shule nne Kyela, Sh35 milioni kusaidia waathirika

April 20, 2024 Admin

Mbeya. Serikali imezifunga shule nne zilizoko katika Kata ya Katumba Songwe wilayani Kyela Mkoa wa Mbeya kutokana na kuzingirwa na maji ya mafuriko.   Maji

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 2,295 2,296 2,297 … 2,317 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.