Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Year: 2024

  • Home
  • 2024
  • Page 2,298
Habari

Dk Nchimbi aibeba falsafa ya maridhiano ya Rais Samia

April 20, 2024 Admin

Songea. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema siasa ya vyama vingi si ugomvi, akiwataka wana-CCM na Watanzania kutoacha kuzungumza na

Read More
Habari

Vifo kutokana na mafuriko Mlimba vyafikia 49

April 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Msemaji wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema idadi ya vifo vilivyotokana na mafuriko katika Halmashauri ya Mlimba, mkoani Morogoro imefikia 49. Msemaji wa Serikali

Read More
Habari

Ujenzi nyumba za waathirika maporomoko ya Hanang waendelea

April 20, 2024 Admin

Arusha.Ujenzi wa nyumba 108 za waathirika wa maafa ya maporomoko ya matope, mawe na magogo ya miti kutoka Mlima Hanang unaendelea katika eneo la Gidagamowd,

Read More
Habari

Makowo wapewa gari la wagonjwa waliloomba serikalini 2021

April 20, 2024 Admin

Njombe. Wananchi wa Kata ya Makowo, Halmashauri ya Mji wa Njombe, wamepatiwa gari la kubeba wagonjwa litakalowapunguzia changamoto ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za

Read More
Habari

AIC Nira Gospel Choir, Lemi George wazidi kupaa

April 20, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mwimbaji wa gospo kutoka jijini Mwanza, Lemi George na kwaya ya AIC Nira, wamefanikiwa kujizolea mashabiki wapya kupitia wimbo wao

Read More
Habari

Wanazuoni, wataalamu waeleza faida, changamoto na maadui wa Muungano

April 20, 2024 Admin

Unguja. Wakati Tanzania ikielekea kuadhimishwa miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, zimetajwa changamoto, faida na maadui wa Muungano huo ulioasisiwa mwaka 1964.  Miongoni

Read More
Habari

Mashindano ya Taifa ya klabu kuogelea yaanza kwa kishindo

April 20, 2024 Admin

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Mashindano ya Taifa Klabu ya Kuogelea yameanza leo Aprili 20,2024, huku  waogeleaji kutoka klabu mbalimbali wakionekana kuchuana vikali  kwenye bwawa

Read More
Habari

Viongozi Ahmadiyya wajifungia wakijadili mambo matatu

April 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Viongozi wa Jumuiya ya Ahmadiyya Kusini mwa Jangwa la Sahara wanakutana jijini Dar es Salaam kwa mkutano wa siku mbili, huku mambo

Read More
Habari

ACT-Wazalendo yachambua ripoti ya CAG, yasema mambo ni yaleyale

April 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimesema yaliyobainika katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) yanaashiria mwendelezo wa ubadhirifu wa

Read More
Burudani

Makonda: Walitaka kuniua kwa drone wakashindwa

April 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewataka polisi mkoani humo kupambana na dawa za kulevya, akisema alinusurika kifo akipambana na dawa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 2,297 2,298 2,299 … 2,317 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.