Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Year: 2024

  • Home
  • 2024
  • Page 2,299
Habari

Mkuu wa Magereza acharuka wafungwa kufia gerezani

April 20, 2024 Admin

Morogoro. Kamishna Jerenali wa Magereza Tanzania, Mzee Nyamka amewataka watumishi wa jeshi hilo kutimiza wajibu wao kwa kuzingatia sheria na waache kujihusisha na matendo yanayolitia

Read More
Michezo

JKT yaichapa Geita Queens 9-0, Stumai akiweka matano WPL

April 20, 2024 Admin

LEO saa 4:00 asubuhi katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo ilipigwa mechi ya Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), JKT Queens ikiwa nyumbani na kuondoka na

Read More
Michezo

Yanga yagomea chumba cha kubadilishia nguo Kwa Mkapa

April 20, 2024 Admin

Muda mfupi baada ya Yanga kuwasili katika Uwanja wa Mkapa, wamelazimika kugomea kuingia kwenye chumba cha kubadilishia nguo. Maofisa wa Yanga waliotangulia kukagua chumba hicho walionekana

Read More
Michezo

Ayoub atwishwa zigo la lawama Kariakoo Dabi

April 20, 2024 Admin

KOCHA wa Simba, Abdelhak Benchikha amemuanzisha kipa  Ayoub Lakred katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya watani zao, Yanga. Ayoub aliyesajiliwa na timu hiyo

Read More
Michezo

Yao arejea Yanga baada ya dakika 360

April 20, 2024 Admin

BAADA ya kukosekana katika michezo minne iliyopita sawa na dakika 360, hatimaye beki wa kulia wa Yanga, Attohoula Yao amerejea uwanjani kwa kupangwa kuanza katika

Read More
Michezo

Pacome amuangukia Gamondi, kocha amgomea

April 20, 2024 Admin

SAA chache kabla ya Yanga kuanza safari ya kuja uwanjani kiungo wa timu hiyo amewasilisha maombi kwa kocha wake ampe hata dakika 20 za mchezo

Read More
Habari

Mtumishi Hanang atupwa jela miaka 20 kwa wizi wa Sh3.5 milioni

April 20, 2024 Admin

Hanang’. Aliyekukuwa mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara, Petro Muray amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela, baada ya kupatikana na hatia ya

Read More
Habari

Mtumishi Hanang atupwa jela miaka 20 kwa wizi wa Sh3.5 mililioni

April 20, 2024 Admin

Hanang’. Aliyekukuwa mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara, Petro Muray amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela, baada ya kupatikana na hatia ya

Read More
Habari

Kaya saba zakosa makazi, Mto Kiwira ukiporomosha udongo

April 20, 2024 Admin

Mbeya. Maisha ya wananchi wilayani Rungwe Mkoa wa Mbeya yako hatarini, baada ya maji ya Mto Kiwira kumong’onyoa udongo na kuharibu barabara inayounganisha vijiji Kapugi

Read More
Burudani

Huyu ndiye Gardner G Habash ‘Kapteni’ wa Jahazi la Clouds

April 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mtangazaji wa kipindi cha Jahazi kinachorushwa na kituo cha redio cha Clouds FM, Gardner G. Habash amefariki dunia alfajiri ya leo Aprili

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 2,298 2,299 2,300 … 2,317 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.