
NIONAVYO: Kombe la Dunia la klabu ni vita mpya ya pesa
TANZANIA, Afrika Kusini na labda Afrika nzima mitandao imejaa mjadala wa uamuzi wa kutia shaka wa refa wa mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika uliozikutanisha Young Africans au Yanga na Mamelodi Sundowns au Masandawana ya Pretoria, Afrika Kusini. Kutolewa kwa Yanga ni kilio kwa wapenzi wa Yanga, lakini ni kicheko kwa watunzaji…