Walimu wa kujitolea waula Dar
Na Nora Damian, Mtanzania Digital Walimu 150 wa masomo ya sayansi waliokuwa wakijitolea katika shule mbalimbali za sekondari za Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wamepewa ajira za mkataba kukabili upungufu uliopo. Juni 2023 Serikali kupitia Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia ilitoa mwongozo unaoelekeza kuwatumia walimu waliohitimu vyuo ambao bado hawajaajiriwa ili kuboresha…