Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Year: 2024

  • Home
  • 2024
  • Page 26
Habari

Russia yamnasa aliyejaribu kutega bomu Moscow

December 28, 2024 Admin

Moscow. Shirika la Ujasusi la Russia (FSB) limedai kumkamata raia wa nchi hiyo akidaiwa kukubaliana na vikosi vya Jeshi la Ukraine kufanya jaribio la mauaji

Read More
Habari

Waziri Ulega afanya ziara ya kushtukiza kukagua maendeleo ya miradi ya ujenzi wa miundombinu ya Mabasi yaendayo Haraka (BRT)

December 28, 2024 Admin

Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, amefanya ziara ya kushtukiza usiku wa kuamkia leo Jumamosi tarehe 28, Disemba 2024 yenye lengo la kukagua maendeleo ya

Read More
Habari

MABASI YAKAGULIWA, WAMILIKI WAONYWA – MICHUZI BLOG

December 28, 2024 Admin

NA BALTAZAR MASHAKA, MISUNGWI JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza limeendesha ukaguzi wa magari ya abiria mkakati wa kudhibiti ajali na uvunjaji wa sheria za

Read More
Habari

TASHICO YAFAFANUA MELI MV SERENGETI KUZAMA ZIWA VICTORIA

December 28, 2024 Admin

NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA KAMPUNI ya Meli Tanzania (TASHICO) imefafanua tukio la kuzama kwa meli ya MV Serengeti katika Bandari ya Mwanza Kusini,Ziwa Victoria, baadaa

Read More
Habari

Kama kawaida Meridianbet yarudisha kwa jamii tena

December 28, 2024 Admin

Mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wameendelea kuhakikisha jamii yao inanufaika na uwepo wao kwani leo tena wametoa msaada kwa jamii. Meridianbet leo

Read More
Michezo

Unaukumbuka ugali wa Yanga? | Mwananchi

December 28, 2024 Admin

Dodoma. Kutokana na baa la njaa katika miaka ya 1974 hadi 1975, Watanzania walilazimika kula ugali uliotokana na mahindi ya njano kutoka Marekani. Ukapewa jina

Read More
Habari

Waziri Ulega akagua ujenzi wa barabara usiku

December 28, 2024 Admin

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amewataka makandarasi wanaotekeleza miradi ya barabara zikiwemo za mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), kuhakikisha wanakamilisha kazi

Read More
Habari

Rais Samia kugharamia mazishi ya Kadhi wa Mkoa wa Morogoro

December 28, 2024 Admin

Morogoro. Rais Samia Suluhu Hassan ameaihidi kugharamia shughuli zote za mazishi ya aliyekuwa Kadhi wa Mkoa wa Morogoro Sheikh Mussa Bolingo ambaye amefariki jana Ijumaa

Read More
Michezo

Bao sasa kuchezwa kila mkoa

December 28, 2024 Admin

KATIKA kuhakikisha mchezo wa bao unachezwa kila kona ya nchi, chama cha mchezo huo Tanzania (Shimbata), kimepanga kuanzisha mashindano ya kila mkoa kuanzia mwakani. Mchezo

Read More
Michezo

Abdulaziz Makame afukuzwa kambini, Heros kwa utovu wa nidhamu

December 28, 2024 Admin

Kocha wa Zanzibar Heros, Hemed Suleiman Morocco amemfukuza kambini beki Abdulaziz Makame (Bui) kwenye kambi ya kikosi hicho kinachojiandaa na mashindano ya Mapinduzi Cup yanayotarajiwa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 25 26 27 … 2,317 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.