Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Year: 2024

  • Home
  • 2024
  • Page 29
Habari

Serikali yamchunguza anayedaiwa kujipatia ekari 100 za ardhi Mkuranga

December 27, 2024 Admin

Dar es Salaam. Serikali inaendelea na uchunguzi katika kesi ya kutakatisha Sh8 milioni zilizotokana na kununua eneo lenye ukubwa wa ekari 100 katika Kijiji cha

Read More
Habari

Mv Serengeti yazama upande Ziwa Victoria, Tashico yasaka chanzo

December 27, 2024 Admin

Mwanza. Meli ya Mv Serengeti imepinduka na kuzama upande moja majini kwenye Bandari ya Mwanza Kusini, ikiwa imefungwa katika gati. Taarifa iliyotolewa na Kitengo cha

Read More
Habari

Putin aja na mpya vita ya Russia, Ukraine

December 27, 2024 Admin

Rais wa Russia, Vladimir Putin amesema anaamini Mungu yuko upande wa taifa hilo katika mzozo unaoendelea kati yake na Ukraine inayoongozwa na Rais Volodymyr Zelenskyy.

Read More
Habari

Walilia uraia pacha, kisa kudhulumiwa na ndugu zao

December 27, 2024 Admin

Dar es Salaam. Watanzania wanaoishi nje ya nchi (diaspora) wamesisitiza haja ya kuwa na uraia pacha ili kuepuka usumbufu, ikiwa ni pamoja na uhalifu wanaofanyiwa

Read More
Habari

Urusi yatwaa vijiji vingine viwili vya mashariki mwa Ukraine – DW – 27.12.2024

December 27, 2024 Admin

Wizara ya Ulinzi ya Urusi imesema vijiji hivyo vya mashariki vilivyochukuliwa ni Ivanivka katika mkoa wa Donetsk, na Zahryzove katika mkoa wa Kharkiv. Taarifa za shirika

Read More
Habari

Israel yashambulia uwanja wa ndege Yemen, bosi WHO anusurika

December 27, 2024 Admin

Jeshi la Israel linadaiwa kutelekeza mashambulizi ya anga katika uwanja wa ndege wa Sana’a na Bandari ya Ras Issa, eneo la Hodeidah nchini Yemen, yaliyoua

Read More
Habari

Waziri Soraga ataka amani kulinda utalii

December 27, 2024 Admin

Unguja. Wakati tukielekea katika uchaguzi Mkuu wa 2025, Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, Mudrick Ramadhan Soraga amesema sekta ya utalii ndiyo imebeba uchumi

Read More
Habari

Steinmeier avunja bunge kupisha uchaguzi wa mapema – DW – 27.12.2024

December 27, 2024 Admin

Baada ya rais Steinmeier kulivunja bunge la Ujerumani Bundestag, sasa nchi hiyo ina siku 60 kuandaa uchaguzi wa mapema unaotarajiwa kufanyika Februari 23. Katika hotuba

Read More
Habari

Kilio cha maji, ZRA yajitosa kutatua changamoto

December 27, 2024 Admin

Unguja. Wakati wananchi wakieleza changamoto wanazopitia kutokana na kukosa huduma ya majisafi na salama, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema itahakikisha inaendelea kufikisha huduma

Read More
Michezo

Ramovic amtaja anayeipa jeuri Yanga

December 27, 2024 Admin

Ushindi wa mechi nne mfululizo za Ligi Kuu Bara kwa Yanga tangu ianze kufundishwa na Kocha Sead Ramovic, umewafanya mashabiki wa timu hiyo kupata jeuri

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 28 29 30 … 2,317 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.