
Kina Sanga wa Chadema waachiliwa huru kesi ya mauaji
Njombe. Mahakama Kuu Kanda ya Iringa imewaachia huru wanachama watatu wa Chadema akiwamo aliyekuwa Katibu wa Jimbo la Njombe, George Sanga na wenzake wawili waliokuwa wakituhumiwa kwa mauaji ya kada wa CCM, Emmanuel Mlelwa. Wengine walioachiliwa huru ni Gooddluck Mfuse na Octatus Mkwela, baada ya Mahakama hiyo kuona hawana hatia. Katika kesi iliyoendeshwa tangu mwaka…