Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Year: 2024

  • Home
  • 2024
  • Page 8
Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO DISEMBA 31, 2024

December 30, 2024 Admin

Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO DISEMBA 31, 2024 About the author

Read More
Habari

CRDB YAKABIDHI GARI JIPYA KWA MSHINDI KAMPENI YA BENKI NI SIMBANKING

December 30, 2024 Admin

Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya CRDB,Bw. Stephen Adili,akimkabidhi funguo za gari pamoja na vifaa mbalimbali Bw.Khamis Majala mara baada ya kuibuka

Read More
Habari

TTB Yawahimiza Wananchi Kutembelea Vivutio vya Utalii Msimu wa Sikukuu

December 30, 2024 Admin

Na Mwandishi wetu Dodoma Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imewahimiza wananchi kutumia msimu wa sikukuu na likizo kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini ili kujifunza,

Read More
Habari

ANZA WIKI YAKO NA UTAJIRI NDANI YA MERIDIANBET

December 30, 2024 Admin

WIKI mpya imeanza ndani ya Meridianbet kwani leo hii unaweza ukajipigia mkwanja wako wa maana ukiweka dau lako dogo tuu. Timu kibao zipo uwanjani leo.

Read More
Habari

WANANCHI WAHIMIZWA KUTUMIA MSIMU WA SIKUKUU NA LIKIZO KUTEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII

December 30, 2024 Admin

SERIKALI imewahimiza wananchi kutumia msimu wa sikukuu na likizo kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini ili kujifunza, kuburudika na kuchangia ukuaji wa uchumi wa Taifa.

Read More
Habari

DKT. DIMWA AZUNGUMZIA UIMARISHAJI SEKTA YA AFYA NCHINI.

December 30, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar. Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Dkt. Mohamed Said Dimwa, amesema chama hicho kimeendelea kutafsiri kwa vitendo sera zake za uimarishaji

Read More
Habari

Maswi amzungumzia Jaji Werema, akumbuka Escrow

December 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Eliakim Maswi amemtaja Mwanasheria Mkuu (AG) mstaafu, Jaji Frederick Werema kuwa mmoja wa viongozi

Read More
Habari

Dk Mwinyi ataka wimbo mmoja wa amani, mshikamano 2025

December 30, 2024 Admin

Unguja. Wakati Watanzania leo wakiuaga mwaka 2024 na kuukaribisha mwaka 2025, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewataka wananchi kuendelea kudumisha amani na mshikamano. Amesema

Read More
Habari

Mavunde asitisha uchimbaji dhahabu Mto Zira

December 30, 2024 Admin

Chunya.  Waziri wa Madini,   Athony Mavunde amesitisha shughuli ya uchimbaji madini ya dhahabu ndani ya Mto Zira uliopo katika Kijiji cha Ifumbo, Wilaya ya Chunya

Read More
Habari

Wanavyuo jamii ya kimasai waunda umoja kutokomeza mila potofu

December 30, 2024 Admin

Mbeya. Wanafunzi wa vyuo vikuu na vya kati mkoani Mbeya wameunda Umoja wa Jamii ya Masai (Memasa), wenye lengo la kupinga mila potofu na kuhamasisha

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 7 8 9 … 2,317 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.