Jinsi ya kuepuka kupigwa na radi

Dar es Salaam. Kutokaa chini ya miti, kutembea peku katika maji na kusimama katika nguzo ndefu za chuma vimetajwa kuwa vitu visivyopaswa kufanywa na mtu wakati mvua ikinyesha ili asipigwe na radi. Tahadhari hiyo imetolewa na mtaalamu kutoka Ofisi Kuu ya Utabiri kutoka Mamlaka ya Utabiri wa Hali ya Hewa Tanzania (TMA), alipozungumza na Mwananchi….

Read More

Siri ya ‘kutoboa’ kiuchumi 2025 hii hapa

Dar es Salaam. Kati ya mavuno na anguko,  ni neno lipi linaakisi matokeo ya malengo uliyojiwekea kuyatimiza kabla ya kukamilika mwaka 2024? Kwa matokeo hayo, unajitathmini na kujiona wapi katika mwaka 2025? Kama umevuna, hongera. Kwa walioanguka au kubaki kama walivyokuwa, ipo siri iliyojificha nyuma ya mafanikio ya kiuchumi na maendeleo kama inavyofafanuliwa na wanazuoni…

Read More

TGNP Yaleta Pamoja Jamii Kujadili Malezi Bora na Ulinzi wa Watoto

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP), umewakutanisha wazazi, walimu na wanafunzi kutoka vilabu vya jinsia kwaajili ya kushirikishana mafanikio kupitia vilabu hivyo shuleni. Akizungumza wakati wa mdahalo huo uliofanyika leo Desemba 30,2024 katika viwanja vya TGNP- Mtandao Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP, Lilian Liundi amewataka wazazi pamoja…

Read More

Samia, viongozi duniani waelezea upekee wa Rais Carter

Rais Samia Suluhu Hassan na viongozi wa mataifa mbalimbali wamuelezea Rais wa 39 wa Marekani, Jimmy Carter, kuwa kiongozi mtetezi wa watu hasa waliopo mazingira hatarishi. Carter amefariki dunia jana, Desemba 29, 2024 akiwa na miaka 100 chini ya uangalizi wa wataalamu wa afya, Shirika la Habari Aljazeera limeeleza. Kutokana na kifo cha Carter, Rais…

Read More

Ouma: Singida Black Stars bado kidogo tu

KOCHA Msaidizi wa Singida Black Stars, David Ouma amesema timu yao imetumika kwa asilimia 70 mzunguko wa kwanza hivyo bado wana mikakati imara mzunguko wa pili ili kufikia malengo ya kucheza michuano ya kimataifa msimu ujao. Singida Black Stars ipo nafasi ya nne kwenye msimamo baada ya kucheza mechi 16 ikifanikiwa kukusanya poiti 33, imeshinda…

Read More

Wapiga makachu wapigwa msasa, kufunguliwa kesho

Unguja. Wakati mchezo wa makachu ukifunguliwa kesho Desemba 31, 2024 Jumuiya ya  Waratibu na Waendesha Misafara ya watalii Zanzibar (Zato), imewapa mafunzo maalumu vijana hao ili kuendana na matakwa na miongozo ya utalii. Mwenyekiti wa Zato, Khalifa Mohamed Makame amesema wamefikia hatua hiyo baada ya bodi ya Zato kuona kuna haja ya kuwapa elimu vijana…

Read More