Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Year: 2024

  • Home
  • 2024
  • Page 9
Habari

Polisi wamsaka dereva wa Super Feo anayedaiwa kusababisha ajali

December 30, 2024 Admin

Songea. Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linamsaka dereva wa kampuni ya mabasi ya Superfeo, Zacharia Mbunda, kwa tuhuma za kusababisha ajali iliyotokea leo alfajiri

Read More
Habari

Dk Timbuka aonya matumizi jani la ‘sale’ kuombana msamaha matukio ya ukatili

December 30, 2024 Admin

Moshi. Wakati mamia ya wananchi wa kabila la Wachaga wakiendelea kukukutana kusherehekea sikukuu za mwisho wa mwaka katika kijiji cha Umbwe Sinde, Kata ya Kibosho

Read More
Habari

Wanaodaiwa kuiba shehena ya petroli, dizeli wataka upelelezi uharakishwe

December 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mshtakiwa wa saba katika kesi ya wizi wa shehena ya mafuta ya petroli na dizeli yenye jumla ya lita milioni 9.9, Gaudence

Read More
Habari

Jinsi ya kuepuka kupigwa na radi

December 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kutokaa chini ya miti, kutembea peku katika maji na kusimama katika nguzo ndefu za chuma vimetajwa kuwa vitu visivyopaswa kufanywa na mtu

Read More
Habari

RAIS DKT. SAMIA AMLILIA MAREHEMU MHESHIMIWA JAJI MWANAISHA KWARIKO

December 30, 2024 Admin

-Asema alikuwa alikuwa ni moja ya majaji wa mahakama ya rufani wenye uwezo mkubwa WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Desemba 30, 2024 amemwakilisha Rais Dkt.

Read More
Habari

Siri ya ‘kutoboa’ kiuchumi 2025 hii hapa

December 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kati ya mavuno na anguko,  ni neno lipi linaakisi matokeo ya malengo uliyojiwekea kuyatimiza kabla ya kukamilika mwaka 2024? Kwa matokeo hayo,

Read More
Habari

TGNP Yaleta Pamoja Jamii Kujadili Malezi Bora na Ulinzi wa Watoto

December 30, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP), umewakutanisha wazazi, walimu na wanafunzi kutoka vilabu vya jinsia kwaajili ya kushirikishana mafanikio kupitia

Read More
Habari

Samia, viongozi duniani waelezea upekee wa Rais Carter

December 30, 2024 Admin

Rais Samia Suluhu Hassan na viongozi wa mataifa mbalimbali wamuelezea Rais wa 39 wa Marekani, Jimmy Carter, kuwa kiongozi mtetezi wa watu hasa waliopo mazingira

Read More
Michezo

Ouma: Singida Black Stars bado kidogo tu

December 30, 2024 Admin

KOCHA Msaidizi wa Singida Black Stars, David Ouma amesema timu yao imetumika kwa asilimia 70 mzunguko wa kwanza hivyo bado wana mikakati imara mzunguko wa

Read More
Habari

Wapiga makachu wapigwa msasa, kufunguliwa kesho

December 30, 2024 Admin

Unguja. Wakati mchezo wa makachu ukifunguliwa kesho Desemba 31, 2024 Jumuiya ya  Waratibu na Waendesha Misafara ya watalii Zanzibar (Zato), imewapa mafunzo maalumu vijana hao

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 8 9 10 … 2,317 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.