Umoja wa Mataifa waonya juu ya njaa ya watoto ambayo haijawahi kushuhudiwa huko Darfur huku mapigano yakichochea uhamaji wa wakimbizi – Global Issues

Vita hivyo vilivyozuka Aprili 2023 Kati ya Vikosi vya Wanajeshi wa Sudan (SAF) na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF), kimeharibu miundombinu ya kiraia, kubomoka huduma za kimsingi na kusababisha moja ya migogoro mikubwa zaidi ya watu kuhama makazi yao. A utafiti wa lishe uliofanyika mwezi huu katika eneo la Um Baru katika jimbo la…

Read More

Alichosema Rais Samia akiaga mwaka 2025

Dar es Salaam. Serikali katika kuuanza mwaka 2026, imejipanga kujenga umoja wa kitaifa nchini. Rais Samia Suluhu Hassan, amesema hayo katika hotuba kwa ajili ya kuuaga mwaka 2025 na kuukaribisha Mwaka Mpya 2026, aliyoitoa leo Desemba 31, 2025 akiwa Tunguu, Zanzibar. Kauli hiyo ameitoa akirejea yaliyotokea Oktoba, 2025, ambapo Tanzania ilipitia nyakati ngumu alizosema zilihitaji…

Read More

Mabingwa watetezi Mapinduzi Cup wanapigwa tu

MLANDEGE FC ni mabingwa watetezi wa Kombe la Mapinduzi, lakini ilichofanya mechi mbili za hatua ya makundi, yenyewe imeshindwa kujitetea. Inabondwa tu. Desemba 28, 2025 katika ufunguzi wa michuano hiyo inayoendelea kwenye Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja, Mlandege ilichapwa 3-1 na Singida Black Stars. Leo Desemba 31, 2025, imeufunga mwaka kinyonge baada ya…

Read More

ASANTE EWURA KWA ELIMU YA UDHIBITI WA HUDUMA

Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari mkoani Dodoma (DPC) Bw.Musa Yusuf,akitoa neno la shukrani kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) mara baada ya waandishi wa klabu hiyo kupatiwa mafunzo kuhusu udhibiti wa huduma za nishati na maji yaliyofanyika leo Disemba 31,2025 jijini Dodoma. Na.Mwandishi Wetu-Dodoma Wanachama wa Klabu ya…

Read More