Haya yatamuepusha mtoto kuzaliwa na maradhi ya moyo
Mwanza/Dar. Wakati takwimu zikionesha kuwa idadi ya watoto wanaozaliwa na magonjwa ya moyo ikiongezeka, watalaamu wa afya wametoa angalizo kwa wajawazito kuhakikisha wanapata virutubisho, kuepuka matumizi ya pombe na sigara kwa kuwa ndio vyanzo vikuu vinavyochangia maradhi hayo kwa watoto. Takwimu za kitaifa zinaonesha kuwa katika kila watoto 100 wanaozaliwa, wawili huwa na tatizo la…