Mkenya aipa ushindi Stars kwa Morocco

KOCHA Msaidizi wa Singida Black Stars, Mkenya David Ouma ameipa nafasi kubwa Taifa Stars kushinda dhidi ya Morocco katika robo fainali ya michuano ya CHAN. Taifa Stars imetinga hatua hiyo kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa mashindano hayo 2009, baada ya mara mbili zilizopita 2009 na 2020 kushindwa kuvuka hatua ya makundi. Safari hii…

Read More

Aucho kimeeleweka Singida Black Stars

SINGIDA Black Stars imekamilisha usajili wa aliyekuwa kiungo wa Yanga, Khalid Aucho ikimpa mkataba wa miaka miwili. Mwanaspoti lilisharipoti uwepo wa mazungumzo ya Singida Black Stars kumnasa kiungo huyo raia wa Uganda na sasa ni rasmi amemwaga wino huku muda wowote kuanzia sasa atatambulishwa rasmi tayari kwa maandalizi ya msimu wa 2025/26. Chanzo cha kuaminika…

Read More

Saba waifumua Simba, Ahoua, Kibu wawekewa mtego

MZIKI wa Simba unaosukwa huko Misri, umeibua jambo jipya kutokana na nyota saba kuonekana kufumua kikosi cha kwanza ambacho awali kilikuwa kinampa jeuri Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Fadlu ambaye anaingia msimu wa pili kuinoa Simba, alikuwa na wakati mzuri 2024-2025 kwani licha ya kutotwaa taji lolote, lakini kuna mabadiliko makubwa yametokea hasa kwenye ushindani katika…

Read More

Romain Folz aja na testi mpya ya Pacome, Ecua

KOCHA wa Yanga, Romain Folz bado anaendelea kukijenga kikosi cha timu hiyo mdogomdogo na jana asubuhi kilikuwa pale Fukwe za Coco, jijini Dar es Salaam. Yanga ilikuwa hapo kwa takribani saa mbili ikiwa na mastaa wake wote wakiwemo viungo Moussa Bala Conte, Pacome Zouzoua na Ecua Celestine, lengo likiwa ni kufanya mazoezi ya ufukweni kuongeza…

Read More

TRC kumwaga ajira 2,460 SGR

Dar es Salaam. Shirika la Reli Tanzania linatarajia kuajiri wafanyakazi 2,460 katika mradi wa Reli ya Kiwango cha Kimataifa (SGR) kwa vipande viwili vya kutoka Dar es Salaam mpaka Makutopora. Taarifa iliyotolewa leo Jumatano, Agosti 20, 2025 katika kurasa za mitandao ya kijamii ya TRC, imeeleza kuwa ajira hizo ni mbali na zaidi ya ajira…

Read More

UCHAMBUZI: Hongereni wanawake lakini safari bado ndefu

Kwa muda mrefu mjadala kuhusu nafasi ya wanawake katika siasa na uongozi nchini umekuwa ukichukua sura mpya kila uchao. Harakati za kuwatia moyo wanawake kujitokeza kugombea nafasi za uongozi kisiasa zimekuwa zikifanyika kwa hatua zinazolenga kusudio mahsusi. Leo hii tunashuhudia matunda ya harakati hizo, lakini pia changamoto na wajibu mkubwa uliopo mbele ya wale waliopata…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Tusilaani tunapoangukia | Mwananchi

Mara nyingi nilipokwenda hospitali kutibiwa, niligundua kuwa madaktari walikuwa wakikariri tiba. Kabla sijajieleza, daktari aliyatazama macho yangu mekundu na kuandika tiba ya malaria. Hata katika eneo lililowekewa karantini kutokana na ugonjwa kipindupindu, macho na akili za matabibu huangukia kwenye mlipuko huo. Ikitokea mtu amekula kiporo akavurugwa na tumbo, haraka sana ataingizwa kundini. Haya ndiyo matatizo…

Read More

‘Mabosi’ walioshikilia hatima ya urais 2025

Dar es Salaam. Siri ya ushindi wa kiti cha urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa 2025, imejificha katika mikoa 10, ukiwamo Dar es Salaam, Mwanza, Morogoro, Tabora, Kagera na Geita. Ingawa ushindi katika uchaguzi, unabebwa na makusanyo ya kura kutoka maeneo mbalimbali, mikoa hiyo inaonyesha kuwa na nguvu ya kuamua mshindi wa kiti cha…

Read More

Uchaguzi huru na wa haki, ni msingi wa demokrasia

Uchaguzi ni njia ya msingi ya kidemokrasia inayotumiwa na kundi la watu, jamii au taifa kuchagua viongozi wanaoaminiwa kuwa bora kwa kipindi fulani, kwa mujibu wa katiba au makubaliano ya pamoja, iwe kwa maandishi au kwa kauli. Hata hivyo, kuwa na uchaguzi pekee hakutoshi; uchaguzi lazima uwe huru na wa haki. Wakati mwingine, jamii hukubaliana…

Read More