Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Year: 2025

  • Home
  • 2025
Habari

UCHAMBUZI WA MJEMA: Enock umekufa kifo cha kikatili, damu yako itumike kuimarisha utawala wa sheria

July 5, 2025 Admin

Mauaji ya kikatili ya kijana Enock Thomas Mhangwa wa mkoani Geita, yanaumiza, yanahuzunisha, yanaudhi na yanatia hasira, lakini ukweli tumefika hapo kama Taifa kwa sababu

Read More
Habari

Watanzania wakumbushwa kusaidiana | Mwananchi

July 5, 2025 Admin

Dodoma. Watanzania wenye sifa ya kupiga kura wameitwa kujitokeza siku ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, ikielezwa kufanya hivyo ni njia ya kupata viongozi

Read More
Habari

Wakulima wa ulezi kicheko, Tari ikizalisha mbegu tisa za kisasa

July 5, 2025 Admin

Mbeya. Ili kufufua na kurejesha zao la ulezi, Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (Tari) kupitia Kituo cha Uyole jijini Mbeya, imeanza kuzalisha aina tisa

Read More
Habari

Tira yabeba ajenda ya bima ya afya kwa wote

July 5, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati kampuni 40 chini ya usimamizi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (Tira) zikishiriki Maonyesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara

Read More
Habari

LOOT Legends: Promosheni ya Wiki 10 Yenye Zawadi ya TZS 1.5 Bilioni

July 5, 2025 Admin

MERIDIANBET inatangaza promosheni yake ya kipekee ya LOOT Legends, mashindano ya kipekee yatakayodumu kwa wiki 10 kuanzia tarehe 30 Juni hadi 7 Septemba 2025. Promosheni

Read More
Habari

WANANCHI WAALIKWA KUFIKA BANDA LA CMSA KATIKA MAONESHO YA SABASABA KUPATA UELEWA MASUALA YANAYOHUSU MASOKO YA MITAJI

July 5, 2025 Admin

Na Said Mwishehe,Michuzi TV MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA)imewakaribisha wananchi wanaofika katika Maonesho ya Biashara ya 49 ya Kimataita yanayoendelea Sabasaba jijini

Read More
Habari

WAKAZI WA TUNGI WAFUNGUKA: KISIMA CHA ABOOD CHAWALETEA UNAFUU WA HUDUMA YA MAJI

July 5, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu, Morogoro BAADHI ya wakazi wa Kata ya Tungi katika Manispaa ya Morogoro wameeleza namna kisima cha maji kilichojengwa kwa ufadhili wa aliyekuwa

Read More
Habari

Rais Dkt. Samia Kuzuru Comoro Kesho

July 5, 2025 Admin

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi ya siku moja nchini Comoro kesho Jumapili tarehe 6

Read More
Habari

Wanufaika na teknolojia ya kilimo shadidi

July 5, 2025 Admin

Ifakara. Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (Tari) kituo cha Ifakara, inaendelea kunufaisha wakulima kwa kutoa elimu kuhusu matumizi ya mbegu bora za mpunga na

Read More
Habari

Utafiti waibua changamoto zinazoukabili ushirika, Mwinyi ataka zishughulikiwe haraka

July 5, 2025 Admin

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeanza mazungumzo na Benki ya Ushirika Tanzania ili itoe mikopo nafuu

Read More

Posts pagination

1 2 … 1,350 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.