
Mkenya aipa ushindi Stars kwa Morocco
KOCHA Msaidizi wa Singida Black Stars, Mkenya David Ouma ameipa nafasi kubwa Taifa Stars kushinda dhidi ya Morocco katika robo fainali ya michuano ya CHAN. Taifa Stars imetinga hatua hiyo kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa mashindano hayo 2009, baada ya mara mbili zilizopita 2009 na 2020 kushindwa kuvuka hatua ya makundi. Safari hii…