CCM kurudisha serikalini mashamba ya ngano Hanang

Katesh /Liwale. Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuimarisha kilimo cha ngano wilayani Hanang ili kufikia lengo la uzalishaji wa tani milioni moja ifikapo mwaka 2030. Amesema hilo litafanyika kwa kuyarudisha serikalini mashamba yaliyotolewa kwa wawekezaji lakini wakashindwa kuyaendeleza. Akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni leo Oktoba 3, 2025 katika…

Read More

DK.SAMIA AKOSHWA NA MAENDELEO YALIYOPATIKANA HANANG AKIOMBA KURA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Manyara MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amefurahishwa na maendeleo makubwa ya yaliyofanyika  kwa wananchi wa Wilaya  ya Hanang mkoani Manyara katika sekta za maendeleo ya jamii maji, umeme, elimu na afya pia yamefanyika na maeneo mengine ya Tanzania nzima. Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi…

Read More

Huyu ndiye Dimitar Pantev, kocha mpya Simba

Ndani ya muda mfupi kuanzia sasa, Simba itamtambulisha Dimitar Pantev kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo akirithi mikoba iliyoachwa wazi na Fadlu Davids aliyetimkia Raja Casablanca ya Morocco. Pantev ana umri wa miaka 49, alizaliwa Juni 26, 1976, jijini Varna huko Bulgaria na ni raia wa nchi hiyo. Kocha huyo ana leseni ya juu ya…

Read More

Fuoni, Chamwino na Mbagala kupiga kura Desemba 30

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza Desemba 30, 2025 kuwa siku ya kupiga kura katika jimbo la Fuoni, Wilaya ya Magharibi B, Zanzibar. Hatua hiyo inatokana na kifo cha aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Abass Ali Mwinyi, kilichotokea Septemba 25, 2025. Kutokana na kifo…

Read More

Moto wa Soka Ulaya Wazidi Kuwaka, Mechi Kali Kupigwa Leo

BARANI Ulaya, joto la soka limepanda na leo mashabiki wanatarajia burudani ya kipekee kutoka kwa ligi tano maarufu. Mechi zenye mvuto mkubwa zinachezwa leo, na kwa wapenzi wa kubashiri, Meridianbet imeandaa odds kabambe zinazoweza kukuongezea kipato. Ndani ya England Premier League, AFC Bournemouth wanawakaribisha Fulham kwenye dimba la Vitality Stadium. Bournemouth, walioko nafasi ya sita,…

Read More

Fursa za kiuchumi katika kipato halali

Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na hamasa kubwa ya watu kujaribu fursa za biashara, uzalishaji na ajira binafsi, hasa kutokana na uwepo wa mitandao ya kijamii. Wito wa kutafuta “mkwanja” umekuwa kama wimbo unaorudiwa na vijana wengi. Mtandaoni tunashuhudia kila aina ya mbinu za upatikanaji wa fedha kwa haraka. Hata hivyo, katikati ya shauku…

Read More