Timu za Umoja wa Mataifa zinaunga mkono chanjo ya kipindupindu katika kambi za kaskazini mashariki – Global Issues

Mlipuko wa kipindupindu uligunduliwa katika kambi hiyo mapema Oktoba na baadaye kuthibitishwa na vipimo vya maabara. Kwa sababu Al Hol haina kituo maalum cha matibabu ya kuhara kwa majimaji makali, ni muhimu kwamba watu wengi wapatiwe chanjo haraka iwezekanavyo, Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa, UNICEFanasisitiza. “Kwa mara ya kwanza tulipokea chanjo ya kipindupindu…

Read More

KENO YA MERIDIANBET USHINDI NI RAHISI CHEZA SASA!!

HAPA tena Meridianbet kasino ya mtandaoni tunakuletea mchezo wa namba wenye bonasi kubwa na rahisi kucheza, mchezo wa keno ni moja ya michezo pendwa inayopatikana Meridianbet. Extra Bingo ni mchezo wa kasino ya mtandaoni uliotengenezwa na gwiji wa michezo ya kasino ya mtandaoni Wazdan. Je, umechoka kusubiri mpaka kipindi fulani ili kupata droo inayofuata? Kuanzia…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR AWEKA JIWE LA MSINGI LA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA 370 KIJIJI CHA BUMBWINI KIDAZINI MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa Unjenzi wa Nyumba 370 zinazojengwa katika eneo la Bumbwini Kidazini Mkoa wa Kaskazini Unguja,ikiwa ni shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kushoto kwa Rais ) Mkuu wa Mkoa wa…

Read More

MBEYA; WAFANYAKAZI WAWILI WA TANESCO WASHIKILIWA NA POLISI

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na maafisa wa shirika la umeme nchini [tanesco] linawashikilia watuhumiwa wawili Movin Joseph Mwaholi [53] Mfanyabiashara wa vifaa vya umeme na Rehema Jamson Silia [42] Mfanyabiashara wa chuma chakavu, mkazi wa nzovwe kwa tuhuma za kukutwa na miundombinu ya umeme na maji. Watuhumiwa walikamatwa Januari 02, 2025…

Read More

WANAHARAKATI WASEMA SHERIA MPYA YA ZAECA IWE MKOMBOZI WANAWAKE KUINGIA KWENYE UONGOZI

TUKIWA tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu 2025 Jitihada mbalimbali zinaendelea kuchukuliwa ambazo zinalenga wanawake kupata uongozi kwa kuzingatia usawa wa kijinsi na kuhakikisha 50 kwa 50 inafikiwa kwenye nafasi hizo. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka wazi haki za wanawake za kushiriki katika uongozi, ibara ya 21 inasisitiza kuwa kila raia wa Jamhuri ya…

Read More