Simba yatanguliza mguu mmoja robo fainali

BAO pekee lililofungwa na kiungo mshambuliaji, Jean Charles Ahoua limeipa Simba ushindi wa kwanza ugenini msimu huu katika mechi za Kombe la Shirikisho Afrika  baada ya kuichapa CS Sfaxien ya Tunisia na kutanguliza mguu mmoja kufuzu robo fainali. Ushindi huo wa kihistoria kwa Simba katika ardhi ya Afrika Kaskazini ulipatikana usiku huu kwenye Uwanja wa…

Read More

Simba yaongeza Straika | Mwanaspoti

BAADA ya Simba Queens kumtambulisha golikipa, Wilfrida Seda kutoka Get Program, timu hiyo imemvuta tena straika Janet Mpeni kutoka timu hiyo. Kama usajili huo utakamilika, Simba Queens hadi sasa itakuwa imefikisha nyota watatu, Seda, Mpeni na Zawadi Khamis kutoka Fountain Gate Princess ambaye hajatambulishwa kikosini hapo. Nyota huyo kwa sasa yuko kwenye majukumu ya timu…

Read More

SHIKA KITITA CHA MAANA LEO

JUMAPILI ya kuondoka kinara na wakali wa ubashiri Tanzania umefika ambapo Meridianbet inakupa nafasi ya kuibuka bingwa leo. Wababe wengi kuchuana huku wewe ukiondoka na mkwanja mzito. EPL leo hii kuna mechi mbili tuu ambapo mechi ya mapema ni hii ya Fulham dhidi ya Ipswich ambao wametoka kushinda mechi yao iliyopita. Tofauti ya pointi kati…

Read More

Simba yaandika historia ya kibabe Tunisia

SIMBA imefanya unyama mwingi sana baada ya usiku wa leo kupata ushindi wa kwanza wa kihistoria katika ardhi ya Waarabu kwa kuichapa CS Sfaxien ya Tunisia kwa bao 1-0. Bao hilo pekee la dakika ya 34 lililowekwa kimiani na Jean Charles Ahoua, liliiwezesha pia Simba kupata ushindi wa kwanza ugenini katika michuano ya Kombe la…

Read More

Uchaguzi Chadema: Ni vita ya wakubwa

Mwanza/Dar. Wakati dirisha la uchukuaji na urejeshaji fomu kuwania uongozi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) likifungwa, mchuano unasubiriwa baina ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu na ule wa Ezekiel Wenje na John Heche kwa nafasi ya makamu mwenyekiti-Bara. Miamba hao wa siasa ndani ya chama hicho, watamaliza ubishi wa nani zaidi Januari…

Read More

Usichokijua matokeo ya la nne, kidato cha pili

Dar es Salaam. Wakati Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) likitangaza kuendelea kuimarika kwa ufaulu wa matokeo ya darasa la nne na kidato cha pili, Mwananchi imebaini somo la fikizia, kemia na  hisabati bado ni mwiba kwa wanafunzi wa sekondari. Pia, imebaini idadi ya wanafunzi wanaorudia kidato cha pili imeongezeka kwa mwaka 2024 ikilinganishwa na…

Read More