Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: January 6, 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • 6
Habari

RAIS MWINYI AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA TAALUMA NA UTAWALA LA SAYANSI YA BAHARI

January 6, 2025 Admin

Rais wa  Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, ameweka jiwe la msingi la Jengo la Taaluma na Utawala la Taasisi ya Sayansi ya Bahari, Buyu, Akizungumza baada

Read More
Habari

DKT. BITEKO AKAGUA UJENZI WA OFISI YA WAZIRI MKUU NA JENGO LA WIZARA YA NISHATI

January 6, 2025 Admin

*Aagiza ujenzi ukamilishwe haraka *Majengo yakamilika kwa asilimia 88 *Wakandarasi waomba nyongeza siku 90 Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu

Read More
Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JANUARI 7,2024

January 6, 2025 Admin

Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JANUARI 7,2024 About the author

Read More
Habari

WAZIRI MKUU AFUNGUA SKULI YA SEKONDARI MAKOBA YA ZANZIBAR

January 6, 2025 Admin

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua Skuli ya Sekondari Makoba iliyoko Kaskazini Unguja ikiwa shamrashamra za Maadhimisho ya Maka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Januari

Read More
Habari

Sababu zilizowatoa gerezani Sanga na wenzake – 2

January 6, 2025 Admin

Njombe. Jana tulikuletea tuhuma za mauaji zilivyokuwa dhidi ya kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), George Sanga na wenzake wawili, walioshikiliwa mahabusu. Hii

Read More
Habari

Majaliwa: Ubora wa miradi uwiane na thamani ya fedha zinazotolewa

January 6, 2025 Admin

Zanzibar. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wasimamizi wa miradi inayotekelezwa na Serikali, ikiwemo ya elimu kuhakikisha inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaolingana

Read More
Habari

Usafiri Moshi bado changamoto | Mwananchi

January 6, 2025 Admin

Moshi. Mamia ya abiria wanaotaka kusafiri kutoka Moshi kwenda maeneo mbalimbali nchini, hususani mikoa ya Dar es Salaam na Dodoma ambao hawakukata tiketi mapema wanalazimika

Read More
Michezo

KenGold yachafua hali ya hewa! watajwa Miquisone, Lwanga

January 6, 2025 Admin

KWA wanachoendelea kufanya KenGold kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo ni kama ‘kuchafua hali ya hewa’. Hiyo inatokana na majembe inayoyashusha baada ya kutembeza

Read More
Habari

WAZIRI NDEJEMBI AMALIZA MGOGORO ULIODUMU KWA MIAKA 30

January 6, 2025 Admin

  WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi amemaliza mgogoro baina ya Wamiliki wa Shamba la Sisal Estate na Wananchi 400

Read More
Michezo

Kisiwa cha Wafu Toten, chimbuko jina la Tanga

January 6, 2025 Admin

Tanga. Mwaka 1961 Wilaya ya Tanga ilikuwa Halmashauri ya Mji ambayo ilipandishwa hadhi kuwa manispaa mwaka 1983 na kuwa Halmashauri ya Jiji mwaka 2005 mpaka

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.