
RAIS MWINYI AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA TAALUMA NA UTAWALA LA SAYANSI YA BAHARI
Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, ameweka jiwe la msingi la Jengo la Taaluma na Utawala la Taasisi ya Sayansi ya Bahari, Buyu, Akizungumza baada ya kuweka jiwe la Msingi Januari 05, 2025 Zanzibar Dkt. Mwinyi amesema kuwa taasisi hiyo itasaidia kuendeleza uchumi wa bluu kupitia tafiti na mafunzo ya wataalamu wa sekta za uvuvi,…