Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: January 7, 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • 7
Kimataifa

Mauaji ya Waalawi nchini Syria, kunyongwa nchini Iran, watetezi wa haki za binadamu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati – Masuala ya Ulimwenguni

January 7, 2025 Admin

Akizungumza mjini Geneva, OHCHR msemaji Liz Throssell alisema kuwa Ofisi inafahamu kuhusu ripoti na video zinazodaiwa kuonyesha mauaji ya wanaume wa Alawite huko Homs na

Read More
Kimataifa

Ombi la $371.4 milioni ili kuongeza usaidizi wa kuokoa maisha – Masuala ya Ulimwenguni

January 7, 2025 Admin

Ilitangazwa katika Grand Serail huko Beirut na Naibu Waziri Mkuu Saade el-Shami na UN Mratibu wa Misaada ya Kibinadamu Imran Riza, rufaa hiyo inapanua juhudi

Read More
Habari

Wasiobadili umiliki vyombo vya moto wapewa siku 13

January 7, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewataka watu wote waliouziwa vyombo vya moto kufika katika mamlaka hiyo kabla ya Januari 20 mwaka huu

Read More
Habari

Wasichana wapewa mbinu kupambana na ukatili wa kijinsia

January 7, 2025 Admin

Dar es Salaam. Katika jitihada ya kukomesha vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwamo rushwa ya ngono kwa wanawake wajasiriamali, taasisi inayoshughulika na uwezeshaji wa wasichana

Read More
Habari

Samwasa kusambaza maji kwa wakazi wa Kavambughu, Mahuu

January 7, 2025 Admin

Same. Wakazi 5,600 wa vitongoji vya Kavambughu na Mahuu wilayani Same, Kilimanjaro wameanza kupata huduma ya majisafi na salama baada ya Mamlaka ya Maji Same

Read More
Habari

Madaktari wa wanyama 120 waondolewa sifa

January 7, 2025 Admin

Dar es Salaam. Baraza la Veterinari Tanzania (TVA) limewafutia usajili madaktari wa wanyama 120 kwa kushindwa kutimizwa matakwa ya sheria ya baraza hilo. Uamuzi wa

Read More
Habari

Upelelezi bado kesi ya vigogo CCM wanaotuhumiwa kumuua katibu

January 7, 2025 Admin

Iringa. Upande wa Jamhuri katika kesi ya mauaji inayowakabili viongozi watano wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kilolo umeieleza Mahakama ya Wilaya ya Iringa

Read More
Habari

Tetemeko laua zaidi ya 125 China, Rais Xi atangaza hali ya dharura

January 7, 2025 Admin

Sichuan. Tetemeko la ardhi lililolikumba Jimbo la Dingri katika Mkoa wa Tibet nchini China limesababisha vifo vya watu 125 huku 188 wakijeruhiwa. Televisheni ya Taifa

Read More
Habari

Hofu ya wanyama wakali yasababisha wazazi wa Same kujenga shule yao

January 7, 2025 Admin

Same. Wakazi wa Kitongoji cha Igoma, Kata ya Maore, Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, wamelazimika kujenga shule yao ili kuwalinda watoto wao wanaotembea umbali mrefu

Read More
Habari

Njia ya ndege yasitisha ujenzi mnara wa mawasiliano Uru, wananchi waja juu

January 7, 2025 Admin

Moshi. Wananchi wa Kata ya Uru Shimbwe, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia kusitishwa kwa  ujenzi wa mnara wa mawasiliano uliokuwa unajengwa, hali inayowafanya kuendelea

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.