Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: January 8, 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • 8
Habari

DKT. NCHEMBA AMUAGA BALOZI WA JAPAN NCHINI

January 8, 2025 Admin

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb)(kulia), akiagana na Balozi wa Japan nchini Tanzania aliyemaliza muda wake, Mhe.Yasushi Misawa, baada ya kumaliza mazungumzo

Read More
Magazeti

TIMU 120 KUSHIRIKI KOMBE LA VUNJABEI

January 8, 2025 Admin

NA DENIS MLOWE IRINGA JUMLA ya timu 120 zinatarajiwa kushiriki mashindano ya soka yanayojulikana kwa jina la Vunjabei Cup 2025 yatakayozinduliwa rasmi Januari 11 mwaka

Read More
Habari

DKT NCHEMBA AWAALIKA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN

January 8, 2025 Admin

Na Benny Mwaipaja, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ametoa wito kwa Kampuni za Japan kuwekeza nchini Tanzania ili kutumia fursa

Read More
Habari

Maandalizi ya Mkutano Mkuu CCM Yashika Kasi.. – Global Publishers

January 8, 2025 Admin

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ameongoza Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) Taifa kutembelea

Read More
Habari

ERIC CHELLE ATANGAZWA KOCHA MPYA TIMU YA TAIFA NIGERIA

January 8, 2025 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Aliyekuwa kocha wa timu ya taifa ya Mali Eric Chelle amelamba dili kuiongoza timu ya taifa ya Nigeria “The Super

Read More
Habari

Ujenzi daraja lililovunjika Same wafikia asilimia 95

January 8, 2025 Admin

Moshi. Ujenzi wa Daraja la Mpirani lililovunjika na kusababisha kukatika kwa mawasiliano ya barabara katika Barabara Kuu ya Same-Mkomazi, Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro umefikia

Read More
Michezo

CUF yamtimua Mbunge wake, mwenyewe asema…

January 8, 2025 Admin

Dar es Salaam. Chama cha Wananchi (CUF), kimemfuta uanachama mbunge wake wa Mtambile visiwani Pemba, Seif Salim Seif kwa kile kilichodaiwa amekisaliti chama hicho na

Read More
Habari

ACT wapendekeza mbinu kuepuka mikopo umiza

January 8, 2025 Admin

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimesema Serikali inapaswa kuanzisha mifumo rahisi ya mikopo kwa wananchi ili kuwarahisishia kuepuka mikopo isiyo rasmi maarufu kama

Read More
Michezo

Lissu, Mbowe wawaweka njia panda wagombea mabaraza, kamati kuu

January 8, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ushindani unaoendelea katika nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), unatajwa kuwapa wakati mgumu wagombea wa nafasi ngazi za

Read More
Habari

Uchumi wa Tanzania Bara kukua kwa asilimia 6, Zanzibar 6.8

January 8, 2025 Admin

Dar es Salaam. Benki kuu ya Tanzania (BoT), imesema mwaka huu ukuaji wa uchumi Tanzania Bara unatarajiwa kuwa asilimia sita huku ule wa Zanzibar ukikua

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.