Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: January 10, 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • 10
Kimataifa

Sio udhibiti ili kukomesha maudhui ya mtandaoni yenye chuki, anasisitiza mkuu wa haki za Umoja wa Mataifa – Global Issues

January 10, 2025 Admin

“Kuruhusu matamshi ya chuki na maudhui hatari mtandaoni kuna madhara ya ulimwengu. Kudhibiti maudhui haya sio udhibiti,” Volker Türk aliandika kwenye X. Katika chapisho refu

Read More
Habari

DKT. NCHEMBA AMUAGA BALOZI WA MAREKANI NCHINI

January 10, 2025 Admin

Na Benny Mwaipaja, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amesema kuwa Tanzania ina thamini mchango mkubwa wa Taifa la Marekani katika

Read More
Habari

TUSHIRIKIANE KUJENGA MIRERANI – HANS NKYA

January 10, 2025 Admin

Na Mwandishi wetu, Mirerani MWENYEKITI mpya wa Mamlaka ya Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Hans Nkya amewataka wajumbe wa mamlaka hiyo kumpa

Read More
Michezo

Inzaghi aipeleka Zanzibar Heroes fainali Mapinduzi Cup 

January 10, 2025 Admin

BAO la Ali Khatib ‘Inzaghi’ limetosha kuipeleka Zanzibar Heroes fainali ya Kombea Mapinduzi 2025 baada ya timu hiyo kuibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya

Read More
Habari

SERIKALI YATOA BILIONI 14.4 MRADI WA ENGARUKA

January 10, 2025 Admin

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo,akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo Januari 10,2025 katika tarafa ya Mtowambu wilayani Monduli. Na.Mwandishi Wetu

Read More
Kimataifa

Ushirikiano wa Biashara Hutoa Matumaini Dhidi ya Ukataji miti – Masuala ya Ulimwenguni

January 10, 2025 Admin

Misitu katika karibu kila nchi yenye misitu inakabiliwa na vitisho kutokana na moto unaotokana na mabadiliko ya tabianchi na shinikizo la ukataji miti unaochochewa na

Read More
Habari

Slovakia yatishia kuikatia Ukraine misaada, kisa gesi ya Russia

January 10, 2025 Admin

Bratislava. Waziri Mkuu wa Slovakia, Robert Fico ameonya kwamba taifa lake huenda likaisitishia Ukraine misaada ya kifedha na kibinadamu baada ya kugomea ufufuaji wa mkataba

Read More
Habari

DRC yaifungia Al Jazeera kurusha matangazo nchini humo

January 10, 2025 Admin

Dar es Salaam. Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) imekifungia kituo cha televisheni cha Al Jazeera kutokana kile ilichokisema imerusha mahojiano na kiongozi

Read More
Habari

Trump ahukumiwa Marekani, hatokwenda gerezani

January 10, 2025 Admin

Washington. Hukumu ya kesi iliyokuwa ikimkabili Rais mteule wa Marekani, Donald Trump imesomwa leo na kumfanya kuwa Rais wa kwanza wa Marekani kuhukumiwa kwa makosa

Read More
Habari

600,000 watumia majina feki kuomba vitambulisho Nida

January 10, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ikiwa zimepita siku 25 tangu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa kuipa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), siku

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.