RUWASA MANYARA WAITAKA JAMII KUTUNZA VYANZO VYA MAJI

Na Mwandishi wetu, Babati MAMLAKA ya maji na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) mkoa wa Manyara, imeitaka jamii ya eneo hilo kutunza vyanzo vya maji ili viweze kuendelea kuhudumia kizazi cha sasa na kizazi kijacho. Meneja wa RUWASA mkoa wa Manyara, mhandisi James Kionaumela ameyasema hayo wakati akizungumzia mikakati ya upatikanaji maji kwa jamii ya…

Read More

Shindano la Expanse Kasino Kukupa Kitita Januari Hii

KUPITIA Meridianbet utapata nafasi ya kunyakua kitita cha shilingi milioni mojataslimu kwa kushiriki shindano la michuano ya Expanse Kasino na kufanya Januari yako kuisha kibabe. Meridianbet kwa mara nyingine tena wanakuletea shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha milioni moja taslimu, Shindano hili la mabingwa limeanza…

Read More

LIVE: Hatua kwa hatua maendeleo Zanzibar

Unguja. Rais Hussein Mwinyi amesema Zanzibar inapoadhimishwa miaka 61 ya Mapinduzi, inajivunia mafanikio makubwa yaliyopatikana, ikiwamo kudumisha amani, umoja na mshikamano na kukuza uchumi. Mbali ya hayo, amesema kumefanyika ujenzi wa miundombinu, uwekezaji na biashara, kuboresha huduma za jamii na kuimarisha demokrasia na utawala bora. Hatua kwa hatua maendeleo Zanzibar Dk Mwinyi alisema hayo jana,…

Read More

Droni za Ukraine zajeruhi saba Russia, 85 zadunguliwa

Moscow. Mfumo wa ulinzi wa anga wa Russia umefanikiwa kudungua ndege zisizo na rubani maarufu kama ‘droni’ 85 za Ukraine kati ya Ijumaa na Jumamosi ya leo. Tovuti ya Russia Today imeripoti leo Jumamosi Januari 11, 2025, kuwa kati yake droni 31 zimedunguliwa zikijaribu kukatiza Bahari Nyeusi kwa ajili ya kwenda kutekeleza mashambulizi katika maeneo…

Read More

Dk Kaushik atunukiwa tuzo na Rais wa India

Dar es Salaam. Ofisa Mtendaji Mkuu Hospitali ya Shree Hindu Mandal ya Dar es Salaam, Dk Kaushik Ramaiya, ametunukiwa Tuzo ya Pravas Bharatiya Samman (PBSA) na Rais wa India, Droupadi Murmu, ikiwa ni sehemu ya kuthamini mchango wake katika sekta ya afya nchini Tanzania. Tuzo ya Pravas Brahatiya Sammanya ya mwaka 2025 ilitolewa Januari Mosi,…

Read More

Mwanafunzi wa IFM kortini kwa tuhuma za wizi hosteli

Dar es Salaam. Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza, Chuo cha Usimamizi wa Fedha( IFM) Sadik Mbelwa(20) amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, kujibu shtaka la wizi wa simu  na kompyuta, vyote vikiwa na  thamani ya Sh1 milioni. Mwanafunzi huyo anadaiwa kuiba vitu hivyo katika hosteli za Greenlight zinazomilikiwa na  Chuo cha Teknolojia Dar es Salam…

Read More