Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: January 11, 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • 11
Habari

RUWASA MANYARA WAITAKA JAMII KUTUNZA VYANZO VYA MAJI

January 11, 2025 Admin

Na Mwandishi wetu, Babati MAMLAKA ya maji na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) mkoa wa Manyara, imeitaka jamii ya eneo hilo kutunza vyanzo vya maji

Read More
Habari

WANACHAMA WA CCM WATAKIWA KUJIEPUSHA NA MAJUNGU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU..

January 11, 2025 Admin

NA WILLIUM PAUL, MOSHI. WANACHAMA wa Chama cha Mapinduzi wameshauriwa kujiepusha na maneno ya uongo (majungu) hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu ili

Read More
Habari

Shindano la Expanse Kasino Kukupa Kitita Januari Hii

January 11, 2025 Admin

KUPITIA Meridianbet utapata nafasi ya kunyakua kitita cha shilingi milioni mojataslimu kwa kushiriki shindano la michuano ya Expanse Kasino na kufanya Januari yako kuisha kibabe.

Read More
Habari

TAWA YAWASILISHA TAARIFA YA UTENDAJI WAKE KWA KAMATI YA BUNGE (PIC).

January 11, 2025 Admin

📍 Kamati yaridhishwa na Kasi ya ukuaji wa Taasisi hiyo. Na Beatus Maganja, Dodoma MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori

Read More
Habari

RC CHALAMILA ATOA MAELEKEZO SITA YA KUZINGATIA KUELEKEA MAANDALIZI YA UJIO WA MARAIS WA AFRIKA

January 11, 2025 Admin

-Mosi Aagiza Eneo la Feri kuwa Safi -Pili Mchakato wa kumpata Mwekezaji Mkubwa wa dampo uharakishwe -Tatu Barabara ya Feri kwenda Hyatt, Johari Rotana mpaka

Read More
Habari

LIVE: Hatua kwa hatua maendeleo Zanzibar

January 11, 2025 Admin

Unguja. Rais Hussein Mwinyi amesema Zanzibar inapoadhimishwa miaka 61 ya Mapinduzi, inajivunia mafanikio makubwa yaliyopatikana, ikiwamo kudumisha amani, umoja na mshikamano na kukuza uchumi. Mbali

Read More
Habari

Uchunguzi wabaini mapya ajali ya ndege iliyoua 179 Korea Kusini

January 11, 2025 Admin

Seoul. Uchunguzi umebaini kuwa vifaa vya kurekodi taarifa ya mwenendo wa ndege ya Shirika la Jeju nchini Korea Kusini, viliacha kufanya kazi dakika nne kabla

Read More
Habari

Droni za Ukraine zajeruhi saba Russia, 85 zadunguliwa

January 11, 2025 Admin

Moscow. Mfumo wa ulinzi wa anga wa Russia umefanikiwa kudungua ndege zisizo na rubani maarufu kama ‘droni’ 85 za Ukraine kati ya Ijumaa na Jumamosi

Read More
Habari

Dk Kaushik atunukiwa tuzo na Rais wa India

January 11, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ofisa Mtendaji Mkuu Hospitali ya Shree Hindu Mandal ya Dar es Salaam, Dk Kaushik Ramaiya, ametunukiwa Tuzo ya Pravas Bharatiya Samman (PBSA)

Read More
Habari

Mwanafunzi wa IFM kortini kwa tuhuma za wizi hosteli

January 11, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza, Chuo cha Usimamizi wa Fedha( IFM) Sadik Mbelwa(20) amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, kujibu shtaka la

Read More

Posts pagination

1 2 … 5 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.