Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: January 12, 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • 12
Michezo

Yanga yaiua Al Hilal, matumaini yabakia Kwa Mkapa

January 12, 2025 Admin

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga imefufua matumaini ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya usiku huu kushinda

Read More
Michezo

Mnyama huyoooo! Robo fainali | Mwanaspoti

January 12, 2025 Admin

SIMBA Ubaya Ubwela. Wekundu hao wa Msimbazi usiku wa jana kiliandika historia nyingine kwa kufuzu robo fainali ya michuano ya CAF ikiwa ni mara ya

Read More
Habari

VIDEO: Maria Sarungi apatikana, aahidi kuzungumza kesho

January 12, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mwanaharakati Maria Sarungi ambaye alidaiwa kutekwa leo nchini Kenya, amepatikana huku akiahidi kuzungumza zaidi kesho baada ya kutulia. Taarifa ya kutekwa kwa

Read More
Michezo

Uchaguzi mabaraza: Ni vita ya Mbowe, Lissu

January 12, 2025 Admin

Dar es Salaam. Baada ya minyukano ya nguvu za hoja kwa takriban wiki mbili,  uchaguzi wa viongozi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)

Read More
Habari

Serikali yaanza kuwapokea vijana 420 wa BBT awamu ya pili

January 12, 2025 Admin

Dodoma. Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imeanza kuwapokea vijana wa awamu ya pili wa mradi wa Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT) ambapo wanatarajia kupokea vijana

Read More
Habari

BALOZI NCHIMBI NA MONGELLA WAMTEMBELEA MZEE MANGULA

January 12, 2025 Admin

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiambatana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Ndugu John Mongella, amemtembelea kwa

Read More
Habari

Gwaride, maonyesho ya kivita yanogesha sherehe miaka 61 ya Mapinduzi Zanzibar

January 12, 2025 Admin

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, jana aliongoza wananchi na viongozi mbalimbali katika kuadhimisha miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika sherehe zilizofanyika Gombani,

Read More
Habari

DC Simanjiro atoa siku 14 wanafunzi wote wawe wameripoti shuleni

January 12, 2025 Admin

Simanjiro. Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Fakii Lulandala ametoa agizo kuhakikisha wanafunzi wote waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza katika shule za sekondari

Read More
Habari

Trump Awakoromea Gavana, Kikosi cha Zimamoto – Global Publishers

January 12, 2025 Admin

Last updated Jan 12, 2025 Rais mteule wa Marekani, Donald Trump leo Jumapili Januari 12, 2025 amewakosoa vikali maafisa wanaosimamia juhudi

Read More
Habari

Maria Sarungi adaiwa kutekwa Nairobi

January 12, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mwanaharakati, Maria Sarungi ambaye kwa sasa anaishi nchini Kenya ameripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana leo nchini humo. Taarifa iliyochapishwa katika ukurasa wa

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.