Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: January 14, 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • 14
Kimataifa

Mhamiaji wa Syria aliyenusurika katika ajali ya meli aapa kujenga upya nchi iliyovunjika – Masuala ya Ulimwenguni

January 14, 2025 Admin

Baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Syria kuzuka mwaka wa 2011, Bi Al Zamel na familia yake walihamia Misri. Alikaa huko na familia

Read More
Habari

Matumaini wawekezaji kutoka Japan wakitua Tanzania

January 14, 2025 Admin

Dar es Salaam. Kampuni 20 za uwekezaji kutoka nchini Japan zimekuja Tanzania kuangalia fursa za uwekezaji katika maeneo ya kilimo, utalii na sekta ya uzalishaji

Read More
Habari

Miradi ya ujenzi wa soko la kisasa, kituo cha  mabasi yaanza Mbeya

January 14, 2025 Admin

Mbeya. Halmashauri ya Jiji la Mbeya limeanza kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo ikijumuisha ujenzi wa soko la kisasa la Matola, kituo kipya cha mabasi ya

Read More
Habari

Nchi 25 za Afrika zinazolima kahawa kukutana Tanzania kupanga mikakati

January 14, 2025 Admin

Dodoma. Nchi 25 zinazolima kahawa barani Afrika zinakutana nchini Tanzania katika Mkutano Mkuu wa Tatu wa mwaka wa nchi zinazolima kahawa (IACO), kwa lengo la

Read More
Habari

Wazazi wakumbushwa kutimiza wajibu wa malezi

January 14, 2025 Admin

Njombe. Kamati ya Shule ya Msingi NjooMlole iliyopo Halmashauri ya Mji wa Njombe imewataka wazazi kutimiza wajibu wao wa malezi kwa kuhakikisha wanawanunulia watoto wao

Read More
Habari

Rais Samia ahutubia Mabalozi pamoja na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa katika Sherehe za Mwaka Mpya kwa Mabalozi (Diplomatic Sherry Party) Ikulu Jijini Dar

January 14, 2025 Admin

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Sherehe za Mwaka Mpya kwa Mabalozi (Diplomatic Sherry Party) Ikulu

Read More
Habari

Madereva walia na maegesho ya magari Kendwa

January 14, 2025 Admin

Unguja. Madereva wa magari ya utalii Kijiji cha Kendwa, Mkoa wa Kaskazini Unguja wameiomba Serikali kuwapatia eneo la maegesho ya magari ili kuondokana na usumbufu

Read More
Habari

Simulizi ajali iliyoua 11 wakiokoa majeruhi

January 14, 2025 Admin

Dar/Tanga. Ni siku zisizozidi 20 zikichukua maisha ya watu 30 kutokana na ajali za barabarani zilizotokea kati ya Desemba 24, 2024 na Januari 13, 2025,

Read More
Habari

RC FATMA MWASSA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAJUMBE WA BODI YA NIC.

January 14, 2025 Admin

.Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajat Fatma Mwassa amefanya mazungumzo na Wajumbe wa Bodi ya Shirika la Bima la Taifa wakiongozwa na Mwenyekiti wake Bwana

Read More
Habari

Wajasiriamali waeleza walivyonufaika na Tasaf

January 14, 2025 Admin

Unguja. Wajasiriamali waliopo kwenye mpango wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) wameeleza namna ulivyowaondoa kwenye umaskini. Mpango wa kunusu kaya maskini kwa Zanzibar ulianza

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.