Akizungumza kutoka Damascus baada ya kukutana na kiongozi wa mamlaka ya muda, Ahmad Al-Sharaa, Bw. Türk alisema kuwa “amehakikishiwa … juu ya umuhimu wa kuheshimu
Day: January 15, 2025

Dar es Salaam. Wakati Shirika la Afya Duniani (WHO) likisema watu wanane wamefariki dunia kutokana na ugonjwa unaoshukiwa kuwa wa virusi vya Marburg (MVD) mkoani

Same. Mkuu wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni ameagiza Jeshi la Polisi wilayani humo kuwasaka wanaume wanaodaiwa kuwapa ujauzito wanafunzi wanne katika kata

Dar es Salaam. Uchaguzi wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) unaofanyika kesho Alhamisi Januari 16, 2025 unatajwa kuchora ramani ya

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimepuliza kipenga kwa wanachama wake wenye sifa za kugombea uongozi katika Uchaguzi Mkuu 2025 kuanza kutangaza nia. Nafasi wanazotakiwa

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema maandalizi kuelekea Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati

Katika hotuba yake ya mwaka mpya wa jadi kwa Mkutano Mkuu akiweka vipaumbele vyake muhimu kwa shirika la kimataifa, mkuu wa Umoja wa Mataifa alikubali

Dar es Salaam. Viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT), imeridhika na uwekezaji uliofanyika katika Bandari ya Dar es Salaam, ikisema umeleta ufanisi katika uendeshaji

Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema watu wanane wamefariki dunia kutokana na ugonjwa unaoshukiwa kuwa wa virusi vya Marburg (MVD) mkoani Kagera.

Arusha. Maambukizi kwenye mapafu yaliyosababisha matatizo ya kupumua ndicho kinachotajwa kuwa chanzo cha kifo cha aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, Ester Mahawe.