Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: January 15, 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • 15
Kimataifa

Mkuu wa haki za Umoja wa Mataifa katika mkutano wa kihistoria nchini Syria na mamlaka ya muda huko Damascus – Global Issues

January 15, 2025 Admin

Akizungumza kutoka Damascus baada ya kukutana na kiongozi wa mamlaka ya muda, Ahmad Al-Sharaa, Bw. Türk alisema kuwa “amehakikishiwa … juu ya umuhimu wa kuheshimu

Read More
Habari

Serikali: Sampuli zilizochukuliwa hazijathibisha virusi vya Marburg

January 15, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati Shirika la Afya Duniani (WHO) likisema watu wanane wamefariki dunia kutokana na ugonjwa unaoshukiwa kuwa wa virusi vya Marburg (MVD) mkoani

Read More
Habari

DC Mgeni acharuka, atoa agizo kukamatwa waliowatia mimba wanafunzi

January 15, 2025 Admin

Same. Mkuu wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni ameagiza Jeshi la Polisi wilayani humo kuwasaka wanaume wanaodaiwa kuwapa ujauzito wanafunzi wanne katika kata

Read More
Michezo

Uchaguzi Bawacha: Mstari wa ushindi Lissu, Mbowe

January 15, 2025 Admin

Dar es Salaam. Uchaguzi wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) unaofanyika kesho Alhamisi Januari 16, 2025 unatajwa kuchora ramani ya

Read More
Habari

ACT-Wazalendo yapuliza kipenga Uchaguzi Mkuu 2025

January 15, 2025 Admin

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimepuliza kipenga kwa wanachama wake wenye sifa za kugombea uongozi katika Uchaguzi Mkuu 2025 kuanza kutangaza nia. Nafasi wanazotakiwa

Read More
Habari

Dk Biteko: Maandalizi mkutano wa M300 yafikia asilimia 95

January 15, 2025 Admin

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema maandalizi kuelekea Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati

Read More
Kimataifa

Guterres anaangazia 'tumaini kupitia hatua' kwa 2025, huku kukiwa na msukosuko unaoendelea – Masuala ya Ulimwenguni

January 15, 2025 Admin

Katika hotuba yake ya mwaka mpya wa jadi kwa Mkutano Mkuu akiweka vipaumbele vyake muhimu kwa shirika la kimataifa, mkuu wa Umoja wa Mataifa alikubali

Read More
Habari

Wafanyabiashara walivyoguswa na mageuzi ya Bandari ya Dar

January 15, 2025 Admin

Dar es Salaam. Viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT), imeridhika na uwekezaji uliofanyika katika Bandari ya Dar es Salaam, ikisema umeleta ufanisi katika uendeshaji

Read More
Habari

WHO yatahadharisha uwepo wa Marburg Kagera, wanane wakitajwa kufariki

January 15, 2025 Admin

Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema watu wanane wamefariki dunia kutokana na ugonjwa unaoshukiwa kuwa wa virusi vya Marburg (MVD) mkoani Kagera.

Read More
Habari

Sababu kifo cha DC Mahawe

January 15, 2025 Admin

Arusha. Maambukizi kwenye mapafu yaliyosababisha matatizo ya kupumua ndicho kinachotajwa kuwa chanzo cha kifo cha aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, Ester Mahawe.

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.