Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro ametoa ufafanuzi kuhusu tukio la video ambayo inasambaa mtandaoni ikionesha Trafiki wakipokea rushwa.
Kamanda Muliro amesema kuwa Trafiki hao wamekamatwa na watachukuliwa hatua.
Habari za Kitaifa
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro ametoa ufafanuzi kuhusu tukio la video ambayo inasambaa mtandaoni ikionesha Trafiki wakipokea rushwa.
Kamanda Muliro amesema kuwa Trafiki hao wamekamatwa na watachukuliwa hatua.