Dar es Salaam. Haikupita kila nusu saa bila kushuhudiwa ugomvi wa wajumbe wa mkutano mkuu wa uchaguzi wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) katika
Day: January 17, 2025

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 17 Januari 2025, ameongoza Kikao

Shinyanga. Wadau wa masuala ya kodi mkoani Shinyanga wameishauri Serikali kuondoa utitiri wa kodi kwenye biashara na taasisi ili kupunguza changamoto zinazosababisha baadhi ya wafanyabiashara

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameelezea maumivu mbalimbali anayopitia ndani ya chama hicho, akisema hayamkatishi tamaa kwani

Kahama. Polisi Mkoa wa Shinyanga limefukua mwili wa Asha Mayenga (62), mkazi wa Lugela, Kata ya Nyamhanga, Manispaa ya Kahama uliofukiwa shambani, baada ya kutoweka

Dar es Salaam. Licha ya maendeleo ya teknolojia yaliyosababisha watumiaji wengi kuhamia kwenye televisheni za satelaiti (Satellite TV), Kanda ya Ziwa, inayojumuisha mikoa kama Shinyanga,

Dodoma. Kumekucha Dodoma ndivyo unaweza kuelezea jiji hili kwa sasa wakati huu Chama cha Mapinduzi (CCM) kikifanya mkutano mkuu wake. Mitaa mbalimbali ya Jiji la

Arusha. Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Arusha limeopoa mwili wa Mbaruku Mussa (41), mkazi wa kata ya Olmoti jijini Arusha, aliyezama kwenye kisima cha

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali, akiwemo Dk Grace Magembe ambaye ameteuliwa kuwa Mganga Mkuu wa Serikali.

Morogoro. Mwili wa kijana mwenye ualbino, Rashid Mussa (24), umekutwa katika shamba la mtu asiyejulikana, baada ya kutoweka nyumbani kwake kwa siku tatu. Rashid alitoweka