Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: January 17, 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • 17
Michezo

Ukumbi wa moto uchaguzi Bawacha

January 17, 2025 Admin

Dar es Salaam. Haikupita kila nusu saa bila kushuhudiwa ugomvi wa wajumbe wa mkutano mkuu wa uchaguzi wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) katika

Read More
Habari

MWENYEKITI WA CCM DKT. SAMIA AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU CCM TAIFA DODOMA

January 17, 2025 Admin

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 17 Januari 2025, ameongoza Kikao

Read More
Habari

Wadau Shinyanga wataka Serikali ipunguze utitiri wa kodi

January 17, 2025 Admin

Shinyanga. Wadau wa masuala ya kodi mkoani Shinyanga wameishauri Serikali kuondoa utitiri wa kodi kwenye biashara na taasisi ili kupunguza changamoto zinazosababisha baadhi ya wafanyabiashara

Read More
Burudani

Mbowe asimulia Lissu, Lema na Heche walivyomuumiza Chadema

January 17, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameelezea maumivu mbalimbali anayopitia ndani ya chama hicho, akisema hayamkatishi tamaa kwani

Read More
Habari

Mbaroni akidaiwa kumuua mama yake mzazi, kufukia mwili shambani

January 17, 2025 Admin

Kahama. Polisi Mkoa wa Shinyanga limefukua mwili wa Asha Mayenga (62), mkazi wa Lugela, Kata ya Nyamhanga, Manispaa ya Kahama uliofukiwa shambani, baada ya kutoweka

Read More
Habari

Kanda ya Ziwa yaongoza matumizi ya televisheni kwa njia ya waya

January 17, 2025 Admin

Dar es Salaam. Licha ya maendeleo ya teknolojia yaliyosababisha watumiaji wengi kuhamia kwenye televisheni za satelaiti (Satellite TV), Kanda ya Ziwa, inayojumuisha mikoa kama Shinyanga,

Read More
Burudani

Dodoma kimewaka, CCM wanajambo lao

January 17, 2025 Admin

Dodoma. Kumekucha Dodoma ndivyo unaweza kuelezea jiji hili kwa sasa wakati huu Chama cha Mapinduzi (CCM) kikifanya mkutano mkuu wake. Mitaa mbalimbali ya Jiji la

Read More
Habari

Afariki dunia akijaribu kumuokoa mbuzi kisimani kwa dau la Sh40,000

January 17, 2025 Admin

Arusha. Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Arusha limeopoa mwili wa Mbaruku Mussa (41), mkazi wa kata ya Olmoti jijini Arusha, aliyezama kwenye kisima cha

Read More
Habari

Rais Samia ateua, kuhamisha viongozi, yumo Dk Magembe

January 17, 2025 Admin

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali, akiwemo Dk Grace Magembe ambaye ameteuliwa kuwa Mganga Mkuu wa Serikali.

Read More
Habari

Mwili wa kijana mwenye ualbino wakutwa shambani Morogoro

January 17, 2025 Admin

Morogoro. Mwili wa kijana mwenye ualbino, Rashid Mussa (24), umekutwa katika shamba la mtu asiyejulikana, baada ya kutoweka nyumbani kwake kwa siku tatu. Rashid alitoweka

Read More

Posts pagination

1 2 … 6 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.