Ukumbi wa moto uchaguzi Bawacha

Dar es Salaam. Haikupita kila nusu saa bila kushuhudiwa ugomvi wa wajumbe wa mkutano mkuu wa uchaguzi wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) katika Ukumbi wa Ubungo Plaza, Dar es Salaam. Ugomvi huo kwa sehemu kubwa unasababishwa na hali ya kutoaminiana kati ya wafuasi wa wagombea wa nafasi ya uenyekiti wa baraza hilo. Wagombea…

Read More

Wadau Shinyanga wataka Serikali ipunguze utitiri wa kodi

Shinyanga. Wadau wa masuala ya kodi mkoani Shinyanga wameishauri Serikali kuondoa utitiri wa kodi kwenye biashara na taasisi ili kupunguza changamoto zinazosababisha baadhi ya wafanyabiashara kukwepa kodi na kushindwa kupiga hatua za maendeleo. Wadau hao walitoa maoni yao leo Ijumaa, Januari 17, 2025, katika mkutano wa Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi. Wamesema makato…

Read More

Mbowe asimulia Lissu, Lema na Heche walivyomuumiza Chadema

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameelezea maumivu mbalimbali anayopitia ndani ya chama hicho, akisema hayamkatishi tamaa kwani ndio wito aliouchagua. Amesema kwa zaidi ya miaka ya 30 akiwa ndani ya chama na miaka 21 ya uenyekiti amepitia mengi, ikiwemo viongozi wenzake waandamizi kumshambulia kwa maneno aliyodai ni…

Read More

Kanda ya Ziwa yaongoza matumizi ya televisheni kwa njia ya waya

Dar es Salaam. Licha ya maendeleo ya teknolojia yaliyosababisha watumiaji wengi kuhamia kwenye televisheni za satelaiti (Satellite TV), Kanda ya Ziwa, inayojumuisha mikoa kama Shinyanga, Mwanza, Tabora, Geita na Simiyu, imeonyesha mapenzi makubwa kwa televisheni za waya (Cable TV). Takwimu kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zinaonyesha Shinyanga inaongoza kwa idadi ya televisheni zilizounganishwa kwa…

Read More

Dodoma kimewaka, CCM wanajambo lao

Dodoma. Kumekucha Dodoma ndivyo unaweza kuelezea jiji hili kwa sasa wakati huu Chama cha Mapinduzi (CCM) kikifanya mkutano mkuu wake. Mitaa mbalimbali ya Jiji la Dodoma imepambwa kwa bendera za CCM na picha za mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan. Viongozi wa chama na Serikali, wanachama, makada na mashabiki wa CCM wapo Dodoma kushuhudia pamoja…

Read More

Rais Samia ateua, kuhamisha viongozi, yumo Dk Magembe

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali, akiwemo Dk Grace Magembe ambaye ameteuliwa kuwa Mganga Mkuu wa Serikali. Taarifa ya uteuzi huo imetolewa leo Ijumaa, Januari 17, 2025, na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka na kusainiwa na kusainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Sharifa Nyaga….

Read More

Mwili wa kijana mwenye ualbino wakutwa shambani Morogoro

Morogoro. Mwili wa kijana mwenye ualbino, Rashid Mussa (24), umekutwa katika shamba la mtu asiyejulikana, baada ya kutoweka nyumbani kwake kwa siku tatu. Rashid alitoweka kutoka kijiji cha Kiziwa, Kata ya Kiroka, wilaya ya Morogoro, na mwili wake ulipatikana kwenye shamba hilo, likiwa limetenganishwa na mnazi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama, Amesema…

Read More