Zanzibar yatangaza bei mpya ya umeme

Unguja. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), imetangaza bei mpya elekezi kwa watumiaji wote wa umeme kisiwani humo ambapo zitaaza rasmi Januari 20, mwaka huu. Kwa mujibu wa Zura, ilipokea maombi ya kubadilisha bei za umeme kutoka Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco) kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya matumizi ya…

Read More

Sababu za Wasira kuteuliwa CCM

Dar/Mikoani. Ukomavu katika siasa, misimamo katika ukweli, ushupavu wa uongozi na uchapakazi vinatajwa kuwa sababu ya Stephen Wasira kuteuliwa na kisha kuchaguliwa kuwa makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara. Wasira ametangazwa kushika wadhifa huo na Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uchaguzi uliofanyika kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano…

Read More

Konokono wazua balaa mashambani Mbeya

Mbeya. Wakulima Mikoa ya Songwe na Mbeya wamejikuta katika taharuki kufuatia konokono kushambulia na kuharibu mazao yao shambani. Changamoto ya viumbe hao inatajwa kuanza kutokea tangu mwaka jana ambapo athari haikuwa kubwa kulinganisha na mwaka huu ambapo mvua zinaendelea kunyesha. Wakizungumza na Mwananchi leo Januari 18, baadhi ya wananchi waliokumbwa na uharibifu huo wamesema bado…

Read More

Pamela Maasay katibu mpya Bawacha

Dar es Salaam. Pamela Maasay amechaguliwa kuwa Katibu wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) akimbwaga Catherine Ruge aliyeshindwa kutetea nafasi hiyo. Katika kinyanganyiro hicho Catherine alipata kura 34 sawa na asilimia 40, mgombea mwingine Esther Daffi akipata kura 15, Pamela akiibuka kidedea mbele ya washindani hao wawili kwa kura 37 sawa na asilimia 54. Uchaguzi uliompa…

Read More

Expanse Kasino Tournament ipo Ukingoni Milioni moja Kunyakuliwa

  SHINDANO la Expanse kasino linaelekea ukingoni ambapo ni dhahiri milioni moja taslimu ambayo ilikua ikishindaniwa ipo mbioni kutoka, Cha kufanya wewe mdau wa michezo ya kasino endelea kucheza michezo ya kasino uweze kuibuka mshindi. Meridianbet kwa mara nyingine tena wanakuletea shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha…

Read More

SERIKALI YAOMBWA KUMALIZIA FEDHA ZA MRADI WA MAJI WA MIJI 28 UNAOTEKELEZWA KATIKA MJI WA SONGEA

Na Mwandishi Wetu,Ruvuma CHAMA cha Mapinduzi wilaya ya Songea mkoani Ruvuma,kimempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Sh.bilioni 145.77 kwa ajili ya kuboresha huduma ya maji kwa wakazi wa Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma. Pongezi hizo zimetolewa jana na Mwenyekiti wa Chama hicho Mwinyi Msolomi,wakati wa ziara yawajumbe wa kamati ya Siasa ya Chama…

Read More

Yanga yakwama kwenda robo CAFCL

YANGA imeshindwa kukata tiketi ya kucheza robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya pili mfululizo baada ya jioni hii kulazimishwa suluhu na MC Alger ya Algeria kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Timu hiyo inayonolewa na Mjerumani, Saed Ramovic ilihitaji ushindi wa aina yoyote ile ili ifuzu tena robo…

Read More

Wakulima Makiba walia kufungiwa maji, mazao kukauka

Arumeru. Baadhi ya wakulima wa mazao mbalimbali wa Kijiji cha Makiba Wilayani Arumeru, Mkoani Arusha, wamelalamikia kufungwa kwa mfereji wa maji ya kumwagilia mashamba yao na kusababisha mazao yao kukauka kwa ukame. Wakulima zaidi ya 5,000 wameathirika na hali hiyo kutokana na ekari zao 1,000 za mazao mbalimbali ya mahindi na mbogamboga kukauka kutokana na…

Read More