Na Deogratius Temba, Dar es salaam Mtandao wa Haki ya afya ya uzazi umeshauri Serikali kutenga bajeti yenye mtazamo wa Kijinsia katika sekta ya afya
Day: January 18, 2025

Unguja. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), imetangaza bei mpya elekezi kwa watumiaji wote wa umeme kisiwani humo ambapo zitaaza

Dar/Mikoani. Ukomavu katika siasa, misimamo katika ukweli, ushupavu wa uongozi na uchapakazi vinatajwa kuwa sababu ya Stephen Wasira kuteuliwa na kisha kuchaguliwa kuwa makamu Mwenyekiti

Mbeya. Wakulima Mikoa ya Songwe na Mbeya wamejikuta katika taharuki kufuatia konokono kushambulia na kuharibu mazao yao shambani. Changamoto ya viumbe hao inatajwa kuanza kutokea

Dar es Salaam. Pamela Maasay amechaguliwa kuwa Katibu wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) akimbwaga Catherine Ruge aliyeshindwa kutetea nafasi hiyo. Katika kinyanganyiro hicho Catherine alipata

SHINDANO la Expanse kasino linaelekea ukingoni ambapo ni dhahiri milioni moja taslimu ambayo ilikua ikishindaniwa ipo mbioni kutoka, Cha kufanya wewe mdau wa michezo ya kasino

Na Mwandishi Wetu,Ruvuma CHAMA cha Mapinduzi wilaya ya Songea mkoani Ruvuma,kimempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Sh.bilioni 145.77 kwa ajili ya kuboresha huduma

YANGA imeshindwa kukata tiketi ya kucheza robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya pili mfululizo baada ya jioni hii kulazimishwa suluhu na

Licha ya kukiri ugeni wake hapa nchini, Kocha Mkuu wa KenGold, Vladislav Herić amesema uzoefu na uwezo alionao timu hiyo itabaki salama Ligi Kuu. Amesema

Arumeru. Baadhi ya wakulima wa mazao mbalimbali wa Kijiji cha Makiba Wilayani Arumeru, Mkoani Arusha, wamelalamikia kufungwa kwa mfereji wa maji ya kumwagilia mashamba yao