Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: January 18, 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • 18
Habari

WADAU WASHAURI BAJETI YENYE MTAZAMO WA KIJINSIA KUSAIDIA WATOTO NJITI

January 18, 2025 Admin

Na Deogratius Temba, Dar es salaam Mtandao wa Haki ya afya ya uzazi umeshauri Serikali kutenga bajeti yenye mtazamo wa Kijinsia katika sekta ya afya

Read More
Habari

Zanzibar yatangaza bei mpya ya umeme

January 18, 2025 Admin

Unguja. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), imetangaza bei mpya elekezi kwa watumiaji wote wa umeme kisiwani humo ambapo zitaaza

Read More
Habari

Sababu za Wasira kuteuliwa CCM

January 18, 2025 Admin

Dar/Mikoani. Ukomavu katika siasa, misimamo katika ukweli, ushupavu wa uongozi na uchapakazi vinatajwa kuwa sababu ya Stephen Wasira kuteuliwa na kisha kuchaguliwa kuwa makamu Mwenyekiti

Read More
Habari

Konokono wazua balaa mashambani Mbeya

January 18, 2025 Admin

Mbeya. Wakulima Mikoa ya Songwe na Mbeya wamejikuta katika taharuki kufuatia konokono kushambulia na kuharibu mazao yao shambani. Changamoto ya viumbe hao inatajwa kuanza kutokea

Read More
Michezo

Pamela Maasay katibu mpya Bawacha

January 18, 2025 Admin

Dar es Salaam. Pamela Maasay amechaguliwa kuwa Katibu wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) akimbwaga Catherine Ruge aliyeshindwa kutetea nafasi hiyo. Katika kinyanganyiro hicho Catherine alipata

Read More
Habari

Expanse Kasino Tournament ipo Ukingoni Milioni moja Kunyakuliwa

January 18, 2025 Admin

  SHINDANO la Expanse kasino linaelekea ukingoni ambapo ni dhahiri milioni moja taslimu ambayo ilikua ikishindaniwa ipo mbioni kutoka, Cha kufanya wewe mdau wa michezo ya kasino

Read More
Habari

SERIKALI YAOMBWA KUMALIZIA FEDHA ZA MRADI WA MAJI WA MIJI 28 UNAOTEKELEZWA KATIKA MJI WA SONGEA

January 18, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu,Ruvuma CHAMA cha Mapinduzi wilaya ya Songea mkoani Ruvuma,kimempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Sh.bilioni 145.77 kwa ajili ya kuboresha huduma

Read More
Michezo

Yanga yakwama kwenda robo CAFCL

January 18, 2025 Admin

YANGA imeshindwa kukata tiketi ya kucheza robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya pili mfululizo baada ya jioni hii kulazimishwa suluhu na

Read More
Michezo

Mserbia wa KenGold ni soka la kasi na nidhamu, asaka rekodi Tanzania

January 18, 2025 Admin

Licha ya kukiri ugeni wake hapa nchini, Kocha Mkuu wa KenGold, Vladislav Herić amesema uzoefu na uwezo alionao timu hiyo itabaki salama Ligi Kuu. Amesema

Read More
Habari

Wakulima Makiba walia kufungiwa maji, mazao kukauka

January 18, 2025 Admin

Arumeru. Baadhi ya wakulima wa mazao mbalimbali wa Kijiji cha Makiba Wilayani Arumeru, Mkoani Arusha, wamelalamikia kufungwa kwa mfereji wa maji ya kumwagilia mashamba yao

Read More

Posts pagination

1 2 … 5 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.