WANA-DGSS WAJADILI NA KUWEKA MIKAKATI YA UFUATILIAJI WA UTEKELEZAJI WA MAONI RASIMU YA DIRA YA TAIFA 2025-2050

Washiriki wa Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) leo Jumatano, Januari 22, 2025, wamejadili masuala mbalimbali yanayohusiana na rasimu ya Dira mpya ya Taifa 2025-2050 katika semina iliyofanyika katika ofisi za Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Mabibo, jijini Dar es Salaam. Mwanasaikolojia Sylvia Sostenes ameibua hoja kuhusu umuhimu wa masomo ya stadi za kazi katika…

Read More

UWT MASEKELO WAPONGEZA USHIRIKI WA WANAWAKE UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA, WAISHUKURU CCM KUMCHAGUA SAMIA KUGOMBEA URAIS 2025

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Tawi la Masekelo, Kata ya Masekelo, Wilaya ya Shinyanga Mjini, Bi. Amina Francis Mwandu akizungumza kwenye mkutano wa UWT tawi la Masekelo Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Tawi la Masekelo, Kata ya Masekelo, Wilaya ya Shinyanga Mjini, Bi. Amina Francis Mwandu akiteta jambo na Katibu wa…

Read More

Wanajeshi Weusi Walioanguka wa Afrika Kusini Kutoka Vita vya Kwanza vya Dunia Hatimaye Wakumbukwa – Masuala ya Ulimwenguni

Zaidi ya miaka 100 baadaye, kumbukumbu ya vita inatoa heshima kwa Waafrika Kusini Weusi waliopigana katika Vita vya Kwanza vya Dunia. Credit: Crystal Orderson/IPS na Crystal Orderson (cape town) Jumatano, Januari 22, 2025 Inter Press Service CAPE TOWN, Jan 22 (IPS) – Makumbusho mapya ya vita huko Cape Town, Afŕika Kusini, yanakumbuka karibu majeruhi 2,000…

Read More

Tamko la Trump na Tanzania ilivyojiandaa miradi ya afya

Dar es Salaam. Uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump, wa kusitisha misaada ya maendeleo nje ya Marekani kwa siku 90, pamoja na azma ya kujitoa kwenye Shirika la Afya Duniani (WHO), umeikuta Tanzania ikiwa imejitayarisha kwa changamoto hizo. Trump, ambaye Jumatatu wiki hii ameapishwa kuwa Rais wa 47 wa Marekani, alisaini amri za kiutendaji…

Read More

UNDENI KAMATI YA KUPONYA MAKOVU YA KAMPENI -MBOWE

MWENYEKITI Mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni Mjumbe wa Kudumu wa Kamati Kuu ya Chama hicho, Freeman Mbowe anatoa maagizo kwa viongozi wapya wa chama hicho kuunda tume kwa ajili kuyaponya majeraha yaliyotokana na kampeni za uchaguzi uliomuondoa madarakani. Mbowe ameyasema hayo leo tarehe 22 Januari 2025 alipokuwa akiwaaga wajumbe…

Read More