Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: January 22, 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • 22
Habari

WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA NA TPSF ZAFANYA KIKAO CHA MAJADILIANO

January 22, 2025 Admin

  Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara imekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) Januari 22,2025 katika ukumbi

Read More
Habari

SERIKALI YAPEWA KONGOLE KWA KUIMARISHA USTAWI WA WANANCHI

January 22, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeipongeza Serikali ya Awamu ya Sita kwa kuimarisha ustawi na maendeleo

Read More
Habari

WANA-DGSS WAJADILI NA KUWEKA MIKAKATI YA UFUATILIAJI WA UTEKELEZAJI WA MAONI RASIMU YA DIRA YA TAIFA 2025-2050

January 22, 2025 Admin

Washiriki wa Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) leo Jumatano, Januari 22, 2025, wamejadili masuala mbalimbali yanayohusiana na rasimu ya Dira mpya ya Taifa 2025-2050

Read More
Habari

UWT MASEKELO WAPONGEZA USHIRIKI WA WANAWAKE UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA, WAISHUKURU CCM KUMCHAGUA SAMIA KUGOMBEA URAIS 2025

January 22, 2025 Admin

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Tawi la Masekelo, Kata ya Masekelo, Wilaya ya Shinyanga Mjini, Bi. Amina Francis Mwandu akizungumza kwenye mkutano wa

Read More
Habari

Rais Samia awasili Jijini Dar es Salaam kwa ‘SGR’ kutokea Mkoani Dodoma

January 22, 2025 Admin

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Stesheni ya Dar es Salaam wakati akitokea Mkoani Dodoma kwa usafiri

Read More
Kimataifa

Wanajeshi Weusi Walioanguka wa Afrika Kusini Kutoka Vita vya Kwanza vya Dunia Hatimaye Wakumbukwa – Masuala ya Ulimwenguni

January 22, 2025 Admin

Zaidi ya miaka 100 baadaye, kumbukumbu ya vita inatoa heshima kwa Waafrika Kusini Weusi waliopigana katika Vita vya Kwanza vya Dunia. Credit: Crystal Orderson/IPS na

Read More
Habari

BANGROS SIKALUZWE AKAMATWA AKIJIFANYA ASKARI POLISI AKIWA NA SARE SONGWE

January 22, 2025 Admin
Read More
Habari

Lissu aendelea na Mnyika katibu mkuu, awateua Dk Nshala, Lema kamati kuu

January 22, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mwenyekiti mpya wa Chadema, Tundu Lissu, ameanza kusuka safu za uongozi ndani ya chama hicho kwa kupendekeza majina ya Katibu Mkuu na

Read More
Habari

Tamko la Trump na Tanzania ilivyojiandaa miradi ya afya

January 22, 2025 Admin

Dar es Salaam. Uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump, wa kusitisha misaada ya maendeleo nje ya Marekani kwa siku 90, pamoja na azma ya

Read More
Habari

UNDENI KAMATI YA KUPONYA MAKOVU YA KAMPENI -MBOWE

January 22, 2025 Admin

MWENYEKITI Mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni Mjumbe wa Kudumu wa Kamati Kuu ya Chama hicho, Freeman Mbowe anatoa maagizo

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.